Halafu wadada wengi.mkiwa mnakaribia kupata NENO wanaona aibu kweli kutamka neno UKIMWI ukiwambia tusitumie kinga wengi hujibu eti wanaogopa mimba!Inabidi kuwatisha kwa kuwambia "mm unaniamini?" ili uweze kutumia kinga kwa.kisingizio cha.kutomuambukiza yeye kumbe na ww unajikinga.Kwa vyo vyote vile UKIMWI bado upo CHUKUA TAHADHARI