chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,207
- 313
Kwenye nini sasa mkuu
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-N910C using JamiiForums mobile app
Unanikumbsha mbali kuna jamaa yang akati tuko advnc alikuwa anamla mama moja hivi tulikokua tunakula mihogo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Post sent using JamiiForums mobile app
Badilika basi!Ukitaka kujua tofauti ya mwanamke bonge na kimbaumbau ni pale ukifumaniwa bonge hana shida mtaongea yataisha na maisha yataendelea ,sasa jiroge ufamaniwe na kimbaumbau dunia utaiona ndogo utatamani uhamie sayari ya mars kwa muda tifu litaendelea zaidi ya miezi kadhaa.
Task Force12
Sawa MADAM T nitabadilika,Lakini vipi na ww ni miongoni mwa lile kundi lenye roho nzuri(...)?.Badilika basi!
NdioSawa MADAM T nitabadilika,Lakini vipi na ww ni miongoni mwa lile kundi lenye roho nzuri(...)?.
Task Force12
Nakuona emmyta bonge na roho yako nzuriMmh. Tafiti zingine bana.
Mkuu ujamalizia utafiti sema tu wana roho mbayaWana saikologia wengi wanakubaliana kuwa watu wanene kwa asili (wanaume na wanawake) wengi wao ni
very friendly, Charming, forgiveness na hawaweki vitu rohoni hii huwafanya wafanikiwe sana kwenye biashara kuliko wengine
Ila haujasema kuwa watu wembamba wana tabia mbaya!!
Hahaaa. Bonge nyaya. [emoji87] [emoji87]Nakuona emmyta bonge na roho yako nzuri
Yaani ukifumwa mkuu moto kama BF2 ile ndege ya mmarekani wanagubu haoUkitaka kujua tofauti ya mwanamke bonge na kimbaumbau ni pale ukifumaniwa bonge hana shida mtaongea yataisha na maisha yataendelea ,sasa jiroge ufamaniwe na kimbaumbau dunia utaiona ndogo utatamani uhamie sayari ya mars kwa muda tifu litaendelea zaidi ya miezi kadhaa.
Task Force12
Mpenz wangu Me too naye ni mnene ndio maana anaroho nzuri hiviHabarini wana Jf? Kwa ukweli wa roho yngu wanawake wananene wana roho nzuri buana kuliko hawa wembaba sijui wanakuaga wanaroho gani ase mbayaa mpka basi! Tupeane uzoefu jamani tulipo
Post sent using JamiiForums mobile app