mchome haki
Senior Member
- Jun 18, 2017
- 129
- 58
Sasa tufanyeje ndugu. Lengo nini hasa
Post sent using JamiiForums mobile app
Post sent using JamiiForums mobile app
TwawezaIwe mwanamke au mwanaume wakishaanza kuwa wembamba nyongo inakosa pa kujifichia mwishowe inapanda kichwani na kusababisha tabia ambazo wewe unaziita roho mbaya! Huyo mnene akikonda atajikuta ni muhanga wa roho mbaaaya. Utafiti huu nimeufanyia kichwani mwangu. Over!
666
uenda maana kuna lile gazeti leti la sani enzi izo mchezo wa Zena na Betina kakorofi kalikuwa kale kembamba
Hivi na wewe best umeamini vinavyosemwa?Haaaa bonge kifuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe vibonge wana sifa nyingi eee.Kiukweli mabonge wana roho nzuri na ata kwenye papuchi uwa siyo wachoyo
Kweli kabisa......na wanene ni wepesi kusamehe hata ukimkosea.Habarini wana Jf? Kwa ukweli wa roho yngu wanawake wananene wana roho nzuri buana kuliko hawa wembaba sijui wanakuaga wanaroho gani ase mbayaa mpka basi! Tupeane uzoefu jamani tulipo
Post sent using JamiiForums mobile app
Mtoa mada yupo sahihi kwa asilimia kubwa tu na ata we jaribu kuchunguza iyo kitu bestHivi na wewe best umeamini vinavyosemwa?
Haaaa vibonge wako vizuri best hawanaga noma kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe vibonge wana sifa nyingi eee.
Factinawezekana ....ila roho mbaya ni mtu siyo type
kutoa tundu.......Kutoa nn mkuu?
Post sent using JamiiForums mobile app
at Rubii ni kweli?..Utafiti ulifanyia machakoni?
Ata sitaki best ntawaonea wivu bure. [emoji2] [emoji2]Mtoa mada yupo sahihi kwa asilimia kubwa tu na ata we jaribu kuchunguza iyo kitu best