Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,942
- 15,707
Haaaa bonge kifutaHahaaa. Bonge nyaya. [emoji87] [emoji87]
Haaaa bonge kifutaHahaaa. Bonge nyaya. [emoji87] [emoji87]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]wanene hawasumbui akili wakishashiba tu hata umtukane atakurudishia akiwa kalala [emoji3][emoji3][emoji3] wametawaliwa na UVIVUUU
Kumbe nitakuwa na roho mbaya ooh poor me![emoji24] [emoji24] [emoji24]Aisee hii thread iko na ukweli fulani hivi!
Kwanini mkuuSikubaliani na utafiti.
Hahahaha ebu tupia picha hapa tuthibitisheKumbe nitakuwa na roho mbaya ooh poor me![emoji24] [emoji24] [emoji24]
Umenichekesha mpendwaUtafiti ulifanyia machakoni?
Inasemekana pia ni wapishi wazuri.Habarini wana Jf? Kwa ukweli wa roho yngu wanawake wananene wana roho nzuri buana kuliko hawa wembaba sijui wanakuaga wanaroho gani ase mbayaa mpka basi! Tupeane uzoefu jamani tulipo
Post sent using JamiiForums mobile app