Kwanini wanawake wanene wana roho nzuri kuliko wale wembaba?

Kwanini wanawake wanene wana roho nzuri kuliko wale wembaba?

Kuna uzi flani uliwahi kujielezea ulivyo nikanasa tokea hapo
Sikumbuki ni uzi gani [emoji1]

That's y kila ninapoona avatar yako navuta picha ya msichana flan bonge bonge hivi ( tukunyema)

Nisamehe lakin kama huwa nakuwaziaga tofauti

Sent from my GT-N8000 using JamiiForums mobile app
Uwiii [emoji134] [emoji134] Mi sio tukunyema best.
 
naunga mkono hoja

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
Mmh... Mm ni mwembamba but nina roho safi sana! Sasa bwana hapa ofisini kuna limama liboongee, yaani ana roho mbayaa khaa!

Itakua ni tabia tuu ya mtu bwana haiendani na maumbile!
Itakuwa wewe mwembamba unamchukia mama wa watu buleee kw roho mbaya yako.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Tatizo mioyo ya wanawake wembamba iko karibu mno na ulimwengu!!!!

Post sent using JamiiForums mobile app
Ko wao wanaishi duniani halafu wanene wako kiroho saidi eh[emoji28][emoji28][emoji28]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Mmh... Mm ni mwembamba but nina roho safi sana! Sasa bwana hapa ofisini kuna limama liboongee, yaani ana roho mbayaa khaa!

Itakua ni tabia tuu ya mtu bwana haiendani na maumbile!
Ata kuwa wa wapi huyo? Mana kuna makabira wao roho mbaya ni kama vazi la kila siku [emoji32] [emoji32] [emoji32]

Post sent using JamiiForums mobile app
 
uenda maana kuna lile gazeti leti la sani enzi izo mchezo wa Zena na Betina kakorofi kalikuwa kale kembamba
Af rejea mchezo wa zamani wa original comedy y akina masanya asha ngedele anaroho mbaya huyo dah

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom