- Thread starter
- #81
Kwan nimesema ni mimi????Wanajua wewe ni kiba100 wao wanataka muhongo sura mbaya
Issue za kiba100 maneno maneno tuu hamna ukweli wowote.
Kwan nimesema ni mimi????Wanajua wewe ni kiba100 wao wanataka muhongo sura mbaya
Washikaji wenye sura mbaya acheni wivu
Ukiona umenyimwa muonekano. wako wa level zako
Wabaya kwa wabaya
Wazur kwa wazur
Nani kasema wanaogopwa?
Nakubaliana na wewe 100%
mwambie huyo[emoji23][emoji23]Kwani hana dudu?
Kutokujiamini
Nakaziaa
mwambie huyo[emoji23][emoji23]
Acha ujinga mkuu.Wanaume mahandsome wana matatizo ya nguvu za kiume kwa iyo wanawake wanaogopa wakiwa kwenye 6*6 hawajui kitu wanakuwa dhaifu
Itakuwa hutendi haki wew
Ukiona anaenda kisharobaro unamsaidia,ndo maana alikupenda
Ni kweli mkuu kwa nuru yao kila mmoja hupenda kuwa nao, na wengi wao ni Bar Maids na ni wahudumu katima mahotel mbalimbali.Umewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.
Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.
Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
Ni kweli mkuu kwa nuru yao kila mmoja hupenda kuwa nao, na wengi wao ni Bar Maids na ni wahudumu katima mahotel mbalimbali.
Huko wanaowatumia sio Wanaume walio Warembo wa sura peke yake, hata wenye sura za kiume huwatumia pia.
Tatizo la hawa wanajiita handsomes wengi huwa na vijitabia vya kike, Hawa ndio wanasababisha huko nje tunasemwa watanzania hatuna nguvu za kiume kumbe ni sababu kuu ni hawa ma handsome.
Kutwa wanakula chips, na vyakula lainilaini vya hotelini ambavyo havina lishe ya kutosha kwa afya ya mwili.
Lakini kwenye huu Uzi naona Muhusika alikuwa ana advitise Sura yake.
Wanao fanana nao hawataki kuolewaAlafu Mahandsome wengi wanawake wao wanakua na sura ngumu..sijui kwanini