Kwanini wanawake wanaogopa wanaume handsome?

Kwanini wanawake wanaogopa wanaume handsome?

Status
Not open for further replies.
Umewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.

Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.

Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
Hahahahaa japo umenichamba,lakini ujumbe mzuri kwa kweli ..

Kuna watu huwa hawachokwi hakika,na nimeshuhudia hata hao hao wanawake,Kuna mwanamke ukishamuona kila siku utatamani kumuona.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: K M
baron de montesque pole kama una ya sura ya makande! Mkuu, kidume mimi nashukuru Mungu Mwenyezi amenipa muonekano wangu wa kipekee. Najua kwenye mambo ya fedha nimechoka mbaya, lakini nashukuru huu muonekano wangu unanibeba, kweli kweli naheshimiwa sana na wanawake wakubwa kwa wadogo jaribu kufikiri kama ningekuwa na sura ya makande plus mifuko imetoboka sijui kama ningepata hata demu wa kupiga nae picha... Hivi leo na kesho mimi ningekuwa mgeni wa nani kwenye dunia hii.
 
baron de montesque pole kama una ya sura ya makande! Mkuu, kidume mimi nashukuru Mungu Mwenyezi amenipa muonekano wangu wa kipekee. Najua kwenye mambo ya fedha nimechoka mbaya, lakini nashukuru huu muonekano wangu unanibeba, kweli kweli naheshimiwa sana na wanawake wakubwa kwa wadogo jaribu kufikiri kama ningekuwa na sura ya makande plus mifuko imetoboka sijui kama ningepata hata demu wa kupiga nae picha... Hivi leo na kesho mimi ningekuwa mgeni wa nani kwenye dunia hii.
Ni kweli mkuu,Hapo ndio huwa naamini Mungu hakupi vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahandsome tunapata tabu sana

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Kwa wanaume ni wivu tuu, kwa mademu wanpoteza confidence, kitu kidogo wanahisi huna mapenzei nao, ki ukweli ni shida sanaaa kualkaa kwenye mahusiano mpka hukutane na mtu muelewa sana .na kupendwapendwa sana mwisho unajikuta unazoea unaona kawaida ndio unachukulia poa wao wanaona unaringa.. wanakutia kwenye fungu la tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.

Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.

Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
Haha sura ngumu kama makande

13SEPTEMBER
 
Habarini za mda,
Nilitaka kufahamu hivi ni kwa nini mtoto wa kiume/mwanaume akiwa handsome,

wanawake wengi wanawaogopa?

Na hata kama wakitaka kujenga relation na mademu linakuwa tatzo?
Utakuta baadh ya wanawake wanajikita sana kwenye suala la mazoea na sio mahusiano(relation)???

Tukijikita mbali,Jamii pia inawaangalia kwa jicho la tatu.why?????

Karibuni wanazengwe kwa maoni...

Sent using Jamii Forums mobile app

Hiyo ndio bahati yetu sisi wanaume wenye sura za limao angalau tuambulie ambulie kidogo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom