Kwanini wanawake wanaogopa wanaume handsome?

Kwanini wanawake wanaogopa wanaume handsome?

Status
Not open for further replies.
Umewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.

Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.

Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
Eti makande

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wanaume ni wivu tuu, kwa mademu wanpoteza confidence, kitu kidogo wanahisi huna mapenzei nao, ki ukweli ni shida sanaaa kualkaa kwenye mahusiano mpka hukutane na mtu muelewa sana .na kupendwapendwa sana mwisho unajikuta unazoea unaona kawaida ndio unachukulia poa wao wanaona unaringa.. wanakutia kwenye fungu la tatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
safi sana,Mkuu nimependa uchambuzi wako
Una IQ safi,Nilitegemea kupata majibu ya aina hii
Asikwambie mtu baadhi ya wanaume wana wivu mbaya sana,alafu ni wanafiki..yaani ikijulikanwa unapendwa huwa wanakunafikia sana,na kueleza madhaifu yako kwa watu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume mahandsome wana matatizo ya nguvu za kiume kwa iyo wanawake wanaogopa wakiwa kwenye 6*6 hawajui kitu wanakuwa dhaifu
 
1092787

Unasemea hamdsome kama huyu!
 
Umewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.

Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.

Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
dah mkuu umedeliver facts sisi wenye sura mbovu huwa tunatamani na tusura angalau tuzuri tukimuona mwenye sura nzuri tunachukia kwel kwel
 
Hapa ni levels tu zinahusika. Namaanisha hata wewe mwanaume usiye na muonekano mzuri wala pesa watoto wazur wenye akili zao na pesa zao huwez gusa maana sio level zako. Kwa hiyo iko hivi, mwanamke mwenyewe anajitathimini je huyu mkaka naendana nae kweli au atanipitia tu aniache? Ye mwenyewe anaona kabisa hata mmudu, ingawa wengine wanajua kabisa wanapitiwa tu ila bado wanakuja na wako tayar kupata hiyo bahati hata ya kupitiwa tu.
Cha msingi hapa tafuteni ela tu uhendisamu utafuata.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom