BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 6,417
- 12,987
Jaman!!!!
13SEPTEMBER
Sijui
13SEPTEMBER
Sijui
Eti makandeUmewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.
Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.
Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
safi sana,Mkuu nimependa uchambuzi wakoKwa wanaume ni wivu tuu, kwa mademu wanpoteza confidence, kitu kidogo wanahisi huna mapenzei nao, ki ukweli ni shida sanaaa kualkaa kwenye mahusiano mpka hukutane na mtu muelewa sana .na kupendwapendwa sana mwisho unajikuta unazoea unaona kawaida ndio unachukulia poa wao wanaona unaringa.. wanakutia kwenye fungu la tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bby sura yangu ya Ugwadu lakini unaonesha mapenzi motomoto, hivi hii tafsiri yake ni nini?Sijui
Sura ya ugwadu ndio uanaume bby. Haya niambie pasaka hii ulifungiwa wapiBby sura yangu ya Ugwadu lakini unaonesha mapenzi motomoto, hivi hii tafsiri yake ni nini?
Huyu ni mwanaume?View attachment 1092787
Unasemea hamdsome kama huyu!
Nadhani alikuwa mwanaume.Huyu ni mwanaume?
AiseeeeNadhani alikuwa mwanaume.
Sasa mwenye sura ya dada mtu akiwa nae si ataona yuko na dada yake
dah mkuu umedeliver facts sisi wenye sura mbovu huwa tunatamani na tusura angalau tuzuri tukimuona mwenye sura nzuri tunachukia kwel kwelUmewahi kujiuliza ni kwa nini watu wafupi hawapendi kutembea na watu warefu?! Ni sawa na mwanaume ambaye huna kitu halafu wala huvutii, kamwe huwezi kuwa na power ya kumfuata mwanamke aliyekamilika hata kama yeye ataonesha nia ya kukuhitaji, wewe utajistukia.
Sasa usiseme jamii, sema hivii, wanaume waliobarikiwa na Mungu, kuwatengeneza kwa mvuto wa maumbile au sura nzuri, suala la baadhi ya watu kuwaangalia kwa jicho la 3, la 4, la 5, la 6, la 7, la 8 hata la 9 huwa ni wivu tu, wala sio kitu kingine.
Kuna watu Mungu kawatengeneza vizuri, kila wakipita, wakienda, wakirudi bado huchoki kuwaangalia unatamani ile nuru ya muonekano ungelikuwa nayo wewe ila ndio hivyo nafasi haikuwa yako, wewe endelea kukomaa na sura yako ngumu kama makande!
huyu si demu wewe au?View attachment 1092787
Unasemea hamdsome kama huyu!
Waulize watu wa Dar, mimi wa mkoani simfahamu.huyu si demu wewe au?