Kwanini wanawake wanaogopa wanaume handsome?

Kwanini wanawake wanaogopa wanaume handsome?

Status
Not open for further replies.
Habarini za mda,
Nilitaka kufahamu hivi ni kwa nini mtoto wa kiume/mwanaume akiwa handsome,

wanawake wengi wanawaogopa?

Na hata kama wakitaka kujenga relation na mademu linakuwa tatzo?
Utakuta baadh ya wanawake wanajikita sana kwenye suala la mazoea na sio mahusiano(relation)?

Tukijikita mbali,Jamii pia inawaangalia kwa jicho la tatu.why?

Karibuni wanazengwe kwa maoni.
Nani kasema wanaogopwa?
 
dah mkuu umedeliver facts sisi wenye sura mbovu huwa tunatamani na tusura angalau tuzuri tukimuona mwenye sura nzuri tunachukia kwel kwel
Hakika
Jamaa alichambua vzr kwa kwel
 
Hapa umenyoosha maelezo mubashara kabisa tatizo "LEVELS" na hyo nimeshuhudia sana wengine wanataka hata kupitiwa tuu then mahusiano kwisha!!tena ni kwa muda mfupi..but kila mtu huwa anajitathmini kuwa hapa mimi kwel ninafit????[emoji109]
Hapa ni levels tu zinahusika. Namaanisha hata wewe mwanaume usiye na muonekano mzuri wala pesa watoto wazur wenye akili zao na pesa zao huwez gusa maana sio level zako. Kwa hiyo iko hivi, mwanamke mwenyewe anajitathimini je huyu mkaka naendana nae kweli au atanipitia tu aniache? Ye mwenyewe anaona kabisa hata mmudu, ingawa wengine wanajua kabisa wanapitiwa tu ila bado wanakuja na wako tayar kupata hiyo bahati hata ya kupitiwa tu.
Cha msingi hapa tafuteni ela tu uhendisamu utafuata.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom