Habarini za mda,
Nilitaka kufahamu hivi ni kwa nini mtoto wa kiume/mwanaume akiwa handsome,
wanawake wengi wanawaogopa?
Na hata kama wakitaka kujenga relation na mademu linakuwa tatzo?
Utakuta baadh ya wanawake wanajikita sana kwenye suala la mazoea na sio mahusiano(relation)???
Tukijikita mbali,Jamii pia inawaangalia kwa jicho la tatu.why?????
Karibuni wanazengwe kwa maoni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kufahamu hivi ni kwa nini mtoto wa kiume/mwanaume akiwa handsome,
wanawake wengi wanawaogopa?
Na hata kama wakitaka kujenga relation na mademu linakuwa tatzo?
Utakuta baadh ya wanawake wanajikita sana kwenye suala la mazoea na sio mahusiano(relation)???
Tukijikita mbali,Jamii pia inawaangalia kwa jicho la tatu.why?????
Karibuni wanazengwe kwa maoni...
Sent using Jamii Forums mobile app
Last edited: