Kwanini wanawake wanakuwa desperate na ndoa?

Kwanini wanawake wanakuwa desperate na ndoa?

Kuna kitu kinaitwa 'biological clock',yes it's ticking but highly overrated hasa ktk jamii za kiafrika...mabinti ni heri akose kazi na elimu lakini sio kukosa ndoa
Ukigeuka huku unaambiwa menopoz sio malaria, haujakaa sawa unaambiwa wanawake wazuri wameshaolewa, ukigeuka unapigwa na la unachagua sana, ukitaka kupumua lingine hilo!! Sasa wenye vifua vya nyanya ndio ikitokea tu basi ni kuolewa hayo mengine mbele ya safari.
 
Kuna kitu kinaitwa 'biological clock',yes it's ticking but highly overrated hasa ktk jamii za kiafrika...mabinti ni heri akose kazi na elimu lakini sio kukosa ndoa
Mmh! Wala usiwadanganye wadogo zetu kumbuka uAfrika huwa hata haudumu sasa unawezaje mwambia binti bora akose kazi na elimu lakini asikose ndoa!! Wanaume hawataki wanawake wadakaji wanataka viungo wachezeshaji ili mwisho wa siku Mpira uingie kwa ustadi,
 
Basi sawa, cha msingi mie nilimchukua jogoo kweli kweli, na alikuwa mmoja tu.
ha ha ha ha ha geni atakua na majibu mazur zaid kama jogoo alikua mmoja au wawili halafu kila mtu kaonyeshwa wa kwake
 
Tatzo binadamu kama ujaweza kujitambua vzr sikuzote hutotulia katk ndoa .

Hasa mwanamke ndio kbsa akishindwa kutulia ndan iyo ndoa iko mbion kufaaa .
 
Mkuu labda jamii ibadilike turudi Enzi za ujima, wakati mwanaume ndiye alikuwa mleta mkate. Binti kigori ukifia balehe tu unaletewa mume, unakwenda kwa mume ukiwa bikra. Sasa sikuhizi maisha yamebadilika, ni wangapi watakubali kuachiwa watoto mama anafanya masters? Ninadhani mengine ni personal choices.
Sky kwa mara ya kwanza nasifia point anko apo juu ya suala la masters you're bright mkuu
 
Unaweza ukawa katika ndoa pia na ukaishi maisha yasiyompendeza Mungu.
Cha msingi ni kukumbushana kuwa karibu na Mungu, uwe kwenye ndoa au laah!!!

Kuishi maisha ya kawaida huku ukisononeka na kutamani vilivyo nje ya uwezo wako pia sio poa, maisha ni kuchagua, kama wewe ulichagua kuoa ukiwa na 20 mwingine akachagua kuoa akiwa na 30 yote heri, chamsingi hakuna anayemkwaza mwenzie.

this is a right way to live and a wrong way to live. ukianza sema yote heri basi hapo shida ndio inapoanza
 
Yaani imebidi tu iwe Alert maana ishakuwa ishu, na mbaya zaidi najua tu yule mume wake atajua, na sitaki matatizo nae coz niliwaacha kwa amani ile kiume nikajikaza nikapita hivi!
Sasa huyu mwanamke anajidai kajitoa ufahamu kwa usumbufu huu, kuna muda kwel nataman kumfukunyua ila nikifikiria jinsi msela alivo mpole naacha kuwaza huo ujinga tena

Ulifanya vyema kuukubali ukweli na kuwaacha waendelee na maisha yao kwa amani. Sasa huyo bi dada mweleze kuwa na wewe umempata mwenzako na unataka ku concentrate nae huyo uliyenaye pia akupe nafasi ya kuwa na huyo umpendae kama ambavyo wewe ulimpa nafasi alipokua anaolewa ukapita zako hivi. Asitake kukugeuza kiporo chake, akikwama kwa mumewe anakuja kwako. Kwan umebadilika nini?
 
Back
Top Bottom