Kwanini wanawake wanakuwa desperate na ndoa?

Kwanini wanawake wanakuwa desperate na ndoa?

Hii nayo ni New Alert!
Yaani imebidi tu iwe Alert maana ishakuwa ishu, na mbaya zaidi najua tu yule mume wake atajua, na sitaki matatizo nae coz niliwaacha kwa amani ile kiume nikajikaza nikapita hivi!
Sasa huyu mwanamke anajidai kajitoa ufahamu kwa usumbufu huu, kuna muda kwel nataman kumfukunyua ila nikifikiria jinsi msela alivo mpole naacha kuwaza huo ujinga tena
 
Kwasababu jamii ndiyo imeshatujenga hivyo, mwanamke ukifikisha miaka 30+ hujaolewa, wazazi wanakuwa na wasiwasi, marafiki wote uliosoma nao wameolewa na wana watoto unajiona tofauti sana. Wakati Oprah hajaolewa akiwa na 60+.
Ah huyu yeye kipindi hcho alikuwa na 24 tu
 
Na ndio maana tunashauriwa tusikimbilie ndoa.. Kosea kujenga utabomoa,ila ukikosema kuoa au kuolewa utajutraaa
 
Wasichana wengi wako desperate na ndoa ikifika miaka 25 na hii inawafanya wengi kuolewa bila kua na mapenzi ya dhati na muoaji, gani akifika umri huo anaona yeyote ajaue bota aolewe, hapo ndio matatizo yanapoanziaga...ndio maana ndoa za siku hizi mwezi tu wamechokana
 
Kweli kabisa mpenzi umeongea hoja ya maana .......usikimbilie ndoa.....lakini pia usiwe na maringo ya kuchagua nani atakuoa ndoa inabidi iwe natural thing kusiwe na chembe chembe za tamaa ya aina yeyote........yaani acha mambo yahappen kwa uhalisia.......inatokea upo single .......hauna mtu serious.......amekuja brother anakuomba kistaarabu kabisa kuwa anaomba akutoe dinner mahala pa heshimma sio club wala mziki wa bendi ila restaurant ya heshima............keti naye msikilize ajenda zake.......mwambie akupe siku mbili au tatu utafakari........zungumza na wazazi sio mashosti zako viduku maana mwisho wa siku hawa mashost watakuuliza tu kuwa jamaa anahela..........muulize mipango yake......anaweza kumudu usimamizi wa uhusiano sio stress kidogo anakimbia sio umeshindwa kupika vizuri anakuona sio wakati ni wajibu wake kukuelekeza......unamchunguza kama alishawahi kuwa na mahusiano nyuma na je kwanini yupo single.......unamuhoji kama ana matatizo ya kiafya........kama ana mtoto yaani maswali ambayo mwanaume huyo atajua upo serious na haupo tayari kuchezewa.

Nimependa ushauri wako sana..nauchukua kama mwongozo
 
Mkuu huyo anataka kukuambukiza ukimwi..kama unabisha jaribu uone...
 
Kuna kipindi nilikuwa na girlfriend wangu, akanicheat na jamaa flani. Tukagombana ila nikagundua sababu ni alikuwa ana hamu sana ya kuolewa na mimi nilikuwa bado sijasettle na jamaa lilimdanganya litamuoa, basi nikabariki kumuachia kiroho safi ingawa niliumia! Kweli akaolewa maisha yakaendelea ila hakuacha kunitafuta e.t.c.

Sasa likizo hii nimekuja kusalimia akasikia nipo, kaanza kunisumbua anasema anataka nimpatie japo mara moja maana tangu aolewe hana raha yoyote zaidi ya ile heshima tu kuwa kaolewa, ila nikicheki mshkaji alivyo sioni kama anayosema huyu mwanamke ni kweli.

Sasa anasumbua hadi imekuwa kero na ubaya mji huu mdogo sana na anajuana na friends wangu wa zamani so hata nikimkwepa bado kuna mtu atamuambia tu nipo mahali gani nakunywa bia e.t.c nashangaa mtu katimba.

Wanawake huwa wanasukumwa na nini kuolewa haraka halafu wanajuta?
Wengine raha ile kuambiawa anaolewa hata kama mume sie lakini nayeye kaolewa,mie kama sikubanwa nyumbani na ruksa kuninyima yakutoka nisinge olewa..
 
Siku hizi tunaenda kusafisha CV maana wanaume wa siku hiz hasa wa mjini hawajue mapenzi
 
ni personal choice na ni suala la mtu kukubaliana na consequences zipi. kwa kujidai tunachelewa kuoa kwa kutafuta maisha ndio kunatufanya tuwe wazinzi. sasa ipi bora, kuwa na maisha ya kawaida na kumpendeza mungu au kupata maisha mazuri lakini ukakosa ufalme wa mbinguni, yote ni personal choice.
mie ndio maana nataka kujiole ka standard seven kangu napoa nacho safi. hamna makelele oh sijui nasoma masters or mara nimehamishwa mkoa. tabu ya nini. standard seven tulia hapo mie nakuhudumia nitakapo hama mkoa twende wote.
Unaweza ukawa katika ndoa pia na ukaishi maisha yasiyompendeza Mungu.
Cha msingi ni kukumbushana kuwa karibu na Mungu, uwe kwenye ndoa au laah!!!

Kuishi maisha ya kawaida huku ukisononeka na kutamani vilivyo nje ya uwezo wako pia sio poa, maisha ni kuchagua, kama wewe ulichagua kuoa ukiwa na 20 mwingine akachagua kuoa akiwa na 30 yote heri, chamsingi hakuna anayemkwaza mwenzie.
 
Back
Top Bottom