Kwanini wanawake wanakuwa desperate na ndoa?

Kwanini wanawake wanakuwa desperate na ndoa?

this is a right way to live and a wrong way to live. ukianza sema yote heri basi hapo shida ndio inapoanza

Maisha ni kupanga na kuchagua vile uonavyo ni sahihi bila kuvunja sheria ya Mungu wala ya nchi.
So hatuwezi kufanana katika mipango na chaguzi, ndio maana wewe unataka std7, mwingine anataka mwenye PHD,mwingine anataka asiekwenda shule kabisa nk.

Mwingine atataka kuoa akiwa na 20 mwingine na 30 wote wanasababu zao ambazo unaweza ukakubaliana nazo au lah!! But thats their life.

Uheri unakuja kwa muhusika na Mungu wake,dont judge,ukiona anaishi maisha yasompendeza Mungu then wewe unaeishi maisha ya kumpendeza Mungu put them into prayers.
 
Mpaka umekuja kuomba ushauri humu ni kwamba yo condidering doing it, kwahiyo hiyo nafsi inayokufanya usite ndio ya kuisikiliza.
Kama ulikuwa wa maana kwake basi wewe ndie ungekuwa mumewe.

Wanaume huwa mnaangalia mafanikio, ni kwanamna gani utamudu kuiendesha familia kabla ya kuwa nayo,wanawake mostly wanaangalia umri, kwahilo utalithibitisha hata humu jf ambavyo 30s wanasimangwa na kuitwa aina yote ya maneno, so asoweza kuhandle that kind of pressure ndio huangukia pua kama huyo,na wapo wengi tu.
 
Kwasababu jamii ndiyo imeshatujenga hivyo, mwanamke ukifikisha miaka 30+ hujaolewa, wazazi wanakuwa na wasiwasi, marafiki wote uliosoma nao wameolewa na wana watoto unajiona tofauti sana. Wakati Oprah hajaolewa akiwa na 60+.
Nimekuelewa sanaa
 
Back
Top Bottom