Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,919
- 183,334
Ndio.Unalipwaga mshahara?
Ndio.Unalipwaga mshahara?
Ubinti nilishauvuka miaka 20 iliyopita maana unanidogoshaYaani huyu binti anapuyanga acha tu, na mume anae.
Imeeandikwa wapi Mungu alimlaani mwanamke??Kumbuka ile laana ya Mungu pale eden bado inawatafuna na haitawaachia mpk masihi atakaporudi mara ya pili... Walilaaniwa kuwa tamaa zenu (wanawake) zitakuwa juu ya mwanaume siku zote, nae atakutawala.... Mpaka leo mwanaume ndie kiongozi ndani ya ndoa. Watadai uhuru na hawajui wakumdai uhuru bcoz aliewalaani sio mwanaume bali ni muumbaji wao. Haki sawa watapewa na huyo huyo.
Eti eeeh!!! Poa mdogo wangu.Ubinti nilishauvuka miaka 20 iliyopita maana unanidogosha
Mume wa mtu tindikali.Ila mume wa mtu maziwa
Huyu kuna shidaYaani huyu binti anapuyanga acha tu, na mume anae.
Mzee wa upako amesema kama mke wa mtu ni sumu basi mume wa mtu ni maziwaNakumbusha tu MKE WA MTU NI SUMU,
Na yawezekana wewe ndio wa kumpa hicho kitu. Ila usije tu ukasema nilikuambia.Huyu kuna shida
Atakuwa kuna kitu ana tafuta[emoji28]
Ngoja nika muulizie pm huko huko
Ahsante naenda kimya kimyaNa yawezekana wewe ndio wa kumpa hicho kitu. Ila usije tu ukasema nilikuambia.
Shilingi ngapi?Ndio.
Nyingi kidogo.Shilingi ngapi?
merry christmass[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ngoja kwanza nikapike mieWapi nimekuwadia? Au unajisafisha?
and happy new yearmerry christmass
Wahi nakuja kula.Ngoja kwanza nikapike mie