Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,348
- 6,669
Nakumbusha tu MKE WA MTU NI SUMU,
mme wa mtu ni maziwa mkuu
Nakumbusha tu MKE WA MTU NI SUMU,
HahahaNilisomaga Ebony zamani sana in 90's ni kuwa walishapanga harusi kitabu cha Oprah kikatoka ndani yake alimzungumzia Graham, Graham alikasirika sana wakaamua kuairisha harusi, Oprah alikuwa very disappointed akamwambia kama unaahirisha leo hatutaona tena.
Mkuu ninadhani mwanamke kuwa na financial stability pia inasaidia, fikiria kama Graham ndiyo angekuwa na mahela yale, alafu sikumoja anakwambia kwani wewe mke wangu Oprah angejisikiaje?Hahaha
Lakin hawana haja ya ndoa kama washa kaa miaka yote hiyo. Its proved wanapendana they may live loving each other till death.
Naskia wenyewe wana jiita wana 'spiritual union'
Yasije wakuta ya Brad Pitt na Angelina JolieHahaha
Lakin hawana haja ya ndoa kama washa kaa miaka yote hiyo. Its proved wanapendana they may live loving each other till death.
Naskia wenyewe wana jiita wana 'spiritual union'
Kwasababu jamii ndiyo imeshatujenga hivyo, mwanamke ukifikisha miaka 30+ hujaolewa, wazazi wanakuwa na wasiwasi, marafiki wote uliosoma nao wameolewa na wana watoto unajiona tofauti sana. Wakati Oprah ameolewa mwaka huu akiwa na 60+.
HahahaMkuu ninadhani mwanamke kuwa na financial stability pia inasaidia, fikiria kama Graham ndiyo angekuwa na mahela yale, alafu sikumoja anakwambia kwani wewe mke wangu Oprah angejisikiaje?
wewe itakua ndio michezo yako kwa hiyo km kabla ya kuolewa uligegedwa na wanaume 10 basi utakua unaviporo kumi unavyovila.............Wanaake wa siku hizi majangaKiporo huwa kitamu sana iseeee
HahahaYasije wakuta ya Brad Pitt na Angelina Jolie
Mkuu labda jamii ibadilike turudi Enzi za ujima, wakati mwanaume ndiye alikuwa mleta mkate. Binti kigori ukifia balehe tu unaletewa mume, unakwenda kwa mume ukiwa bikra. Sasa sikuhizi maisha yamebadilika, ni wangapi watakubali kuachiwa watoto mama anafanya masters? Ninadhani mengine ni personal choices.hapo ndipo mnapobugi.....kisa a famous woman kafanya hivyo basi kumeficha mabaya yake kuwa alikuwa mzinzi. wewe ukweli ni kwamba mwanamke na mwanaume wanatakiwa waoe mapema laa sivyo tunakuwa ma malaya kama mnavyojionea kwenye jamii ya sasa. wangapi hapa wanaweza kuishi mpaka 30 wakiwa hawajazini?
mpk unajua kuna fake na ogHalafu vilainish vya sasa hv ni feki
Kwa kweli atakaye kuwa mke wangu ajitahidi asome mapema amalize (though spend mtu alo soma sana) ile ya kuachiana watoto sitakubal kwa kweli.Mkuu labda jamii ibadilike turudi Enzi za ujima, wakati mwanaume ndiye alikuwa mleta mkate. Binti kigori ukifia balehe tu unaletewa mume, unakwenda kwa mume ukiwa bikra. Sasa sikuhizi maisha yamebadilika, ni wangapi watakubali kuachiwa watoto mama anafanya masters? Ninadhani mengine ni personal choices.
Pia anawatoto kutoka previous marriage kwahiyo Oprah kukosa mtoto haimsumbui, yaah Oprah kutafuta mwanaume mwingie hana muda at least anamtrust Graham kwa ushauri pia na company.Hahaha
Sky umewaza mbali sana. Kwa hiyo unataka useme kuwa rich ni kinda security kwa Oprah ee!?
Ila hata graham naye namsifu ame mtuliza mtoto vzuri, na ujue graham ni divorcee tayar so nadhan naye maisha ya ndoa ana yajua.
Inakera, mzee mzima unakwenda clinic nursing bag, una warm up maziwa.Kwa kweli atakaye kuwa mke wangu ajitahidi asome mapema amalize (though spend mtu alo soma sana) ile ya kuachiana watoto sitakubal kwa kweli.
Bas ndio maana na mzee Graham katulia tuu.Pia anawatoto kutoka previous marriage kwahiyo Oprah kukosa mtoto haimsumbui, yaah Oprah kutafuta mwanaume mwingie hana muda at least anamtrust Graham kwa ushauri pia na company.
Inakera, mzee mzima unakwenda clinic nursing bag, una warm up maziwa.
Mkuu labda jamii ibadilike turudi Enzi za ujima, wakati mwanaume ndiye alikuwa mleta mkate. Binti kigori ukifia balehe tu unaletewa mume, unakwenda kwa mume ukiwa bikra. Sasa sikuhizi maisha yamebadilika, ni wangapi watakubali kuachiwa watoto mama anafanya masters? Ninadhani mengine ni personal choices.
Mwenyezi Mungu ni mwenye huruma na humsamehe kila mja wake anaeomba toba, hao wazinzi kwakuwa hawajaoa na kuolewa waweke kwenye dua zako ukifanya ibada na wao waingie kwenye ndoa. Maisha ni mtihani rahisi lakini tunafeli kwa kukopiana notes wakati kila mtu ana swali lake.ni personal choice na ni suala la mtu kukubaliana na consequences zipi. kwa kujidai tunachelewa kuoa kwa kutafuta maisha ndio kunatufanya tuwe wazinzi. sasa ipi bora, kuwa na maisha ya kawaida na kumpendeza mungu au kupata maisha mazuri lakini ukakosa ufalme wa mbinguni, yote ni personal choice.
mie ndio maana nataka kujiole ka standard seven kangu napoa nacho safi. hamna makelele oh sijui nasoma masters or mara nimehamishwa mkoa. tabu ya nini. standard seven tulia hapo mie nakuhudumia nitakapo hama mkoa twende wote.
tena asije hakakojoa dagaaNakumbusha tu MKE WA MTU NI SUMU,
Usinisahau kadi ya mchangoKwa kweli atakaye kuwa mke wangu ajitahidi asome mapema amalize (though spend mtu alo soma sana) ile ya kuachiana watoto sitakubal kwa kweli.