Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,110
SawaBasi sawa,ni vyema kabisa, kila mtu anachagua kipendacho roho.
Ukipata ambaye kaishia la 7 au ana cheti tu, nistue bas
SawaBasi sawa,ni vyema kabisa, kila mtu anachagua kipendacho roho.
Kuna kipindi nilikuwa na girlfriend wangu, akanicheat na jamaa flani. Tukagombana ila nikagundua sababu ni alikuwa ana hamu sana ya kuolewa na mimi nilikuwa bado sijasettle na jamaa lilimdanganya litamuoa, basi nikabariki kumuachia kiroho safi ingawa niliumia! Kweli akaolewa maisha yakaendelea ila hakuacha kunitafuta e.t.c.
Sasa likizo hii nimekuja kusalimia akasikia nipo, kaanza kunisumbua anasema anataka nimpatie japo mara moja maana tangu aolewe hana raha yoyote zaidi ya ile heshima tu kuwa kaolewa, ila nikicheki mshkaji alivyo sioni kama anayosema huyu mwanamke ni kweli.
Sasa anasumbua hadi imekuwa kero na ubaya mji huu mdogo sana na anajuana na friends wangu wa zamani so hata nikimkwepa bado kuna mtu atamuambia tu nipo mahali gani nakunywa bia e.t.c nashangaa mtu katimba.
Wanawake huwa wanasukumwa na nini kuolewa haraka halafu wanajuta?
Kunywa maziwa haina nomaNakumbusha tu MKE WA MTU NI SUMU,
Namfahamu mmoja ila mcharuko huyo, ila si utamtuliza tu?Sawa
Ukipata ambaye kaishia la 7 au ana cheti tu, nistue bas
Mh Mh MhWe mwanaume umenikimbia mwezi sasa umeisha mwanao unategemea anakula nini?Umetosheka ulikokuwa sasa rudi nyumbani
Nani alikuficha kwanza maana mhhhh?Nimevumilia sanaMh Mh Mh
HahahaNamfahamu mmoja ila mcharuko huyo, ila si utamtuliza tu?
Bila shaka watakua wamesha liona tangazo la mleta uzi..[emoji23] [emoji23]Hii nayo ni New Alert!
We mwanaume bwana, huwa wanasema mwanaume hashindwi na jambo(sijui ni kweli).Hahaha
Yaan una niweka rehan mwenzio hiv hivi.
Ntajipiga piga nihakikishe anatulia
Toba....[emoji87] [emoji87] [emoji87]Kiporo huwa kitamu sana iseeee
HahahaWe mwanaume bwana, huwa wanasema mwanaume hashindwi na jambo(sijui ni kweli).
Huyu mcharuko lazima akili ikukae sawa,ila kazi za ndani jiandae kuweka HG maana hata vyombo hawezi kuosha.
Kwani we unataka mfanyakazi au mke?Hahaha
Sasa huyo hajasoma na kaz hajui, hebu tuendelee kutafuta mwingine
Kwanza maana huyo ni jipu
Nani alikuficha kwanza maana mhhhh?Nimevumilia sana
Upweke na pia kunioneshea hadharani wanawake zako na kutokunipa matumizi[emoji124]Umevumilia nini?
Shikamoo babu Ushimen!Toba....[emoji87] [emoji87] [emoji87]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Halafu vilainish vya sasa hv ni feki
HahahaaKwani we unataka mfanyakazi au mke?
Vingine vitafanywa na wafanyakazi, teh teh teeeeh!!
Ila kwani tatizo lako na wasomi ni nini?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaa
Mke sasa asije kulala tu, ningekuwa nataka gem tu hata sinza au buguruni napata, awe ana weza kaz.
Wanawake wasomi kwa kweli heshima sifuri, halaf wanapenda kuolewa na kazi pia