Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
AaahUsinisahau kadi ya mchango
Sasa mbona wewe kama unajitoa
Una PHD nn!!?
AaahUsinisahau kadi ya mchango
so we Oprah...Kwasababu jamii ndiyo imeshatujenga hivyo, mwanamke ukifikisha miaka 30+ hujaolewa, wazazi wanakuwa na wasiwasi, marafiki wote uliosoma nao wameolewa na wana watoto unajiona tofauti sana. Wakati Oprah ameolewa mwaka huu akiwa na 60+.

Unamaanisha nini MKUUHalafu vilainish vya sasa hv ni feki
Hafi mtu lakini kichapo atachokipata ataisoma nambana mume wa mtu ni maziwa hafi mtu
Sky nadhan Oprah ni role model wake wa kila kituso we Oprah...![]()
![]()
Ahahaaa mie nna cheti cha la 7 AAaah
Sasa mbona wewe kama unajitoa
Una PHD nn!!?
Ahahaaa mie nna cheti cha la 7 A
mpk unajua kuna fake na og
Tafuta wanawake wa zamanina
wewe itakua ndio michezo yako kwa hiyo km kabla ya kuolewa uligegedwa na wanaume 10 basi utakua unaviporo kumi unavyovila.............Wanaake wa siku hizi majanga
Kweli kabisa mpenzi umeongea hoja ya maana .......usikimbilie ndoa.....lakini pia usiwe na maringo ya kuchagua nani atakuoa ndoa inabidi iwe natural thing kusiwe na chembe chembe za tamaa ya aina yeyote........yaani acha mambo yahappen kwa uhalisia.......inatokea upo single .......hauna mtu serious.......amekuja brother anakuomba kistaarabu kabisa kuwa anaomba akutoe dinner mahala pa heshimma sio club wala mziki wa bendi ila restaurant ya heshima............keti naye msikilize ajenda zake.......mwambie akupe siku mbili au tatu utafakari........zungumza na wazazi sio mashosti zako viduku maana mwisho wa siku hawa mashost watakuuliza tu kuwa jamaa anahela..........muulize mipango yake......anaweza kumudu usimamizi wa uhusiano sio stress kidogo anakimbia sio umeshindwa kupika vizuri anakuona sio wakati ni wajibu wake kukuelekeza......unamchunguza kama alishawahi kuwa na mahusiano nyuma na je kwanini yupo single.......unamuhoji kama ana matatizo ya kiafya........kama ana mtoto yaani maswali ambayo mwanaume huyo atajua upo serious na haupo tayari kuchezewa.Kwasababu jamii ndiyo imeshatujenga hivyo, mwanamke ukifikisha miaka 30+ hujaolewa, wazazi wanakuwa na wasiwasi, marafiki wote uliosoma nao wameolewa na wana watoto unajiona tofauti sana. Wakati Oprah ameolewa mwaka huu akiwa na 60+.
Word Mkuu, asante sana na Ubarikiwe, haya ya mtoto tena ni bonus, akiwa nae hata wewe ukikosa haitamchanganya na pia huwezi kujua labda Mungu alikuweka ili kuwalea hao watoto.Kweli kabisa mpenzi umeongea hoja ya maana .......usikimbilie ndoa.....lakini pia usiwe na maringo ya kuchagua nani atakuoa ndoa inabidi iwe natural thing kusiwe na chembe chembe za tamaa ya aina yeyote........yaani acha mambo yahappen kwa uhalisia.......inatokea upo single .......hauna mtu serious.......amekuja brother anakuomba kistaarabu kabisa kuwa anaomba akutoe dinner mahala pa heshimma sio club wala mziki wa bendi ila restaurant ya heshima............keti naye msikilize ajenda zake.......mwambie akupe siku mbili au tatu utafakari........zungumza na wazazi sio mashosti zako viduku maana mwisho wa siku hawa mashost watakuuliza tu kuwa jamaa anahela..........muulize mipango yake......anaweza kumudu usimamizi wa uhusiano sio stress kidogo anakimbia sio umeshindwa kupika vizuri anakuona sio wakati ni wajibu wake kukuelekeza......unamchunguza kama alishawahi kuwa na mahusiano nyuma na je kwanini yupo single.......unamuhoji kama ana matatizo ya kiafya........kama ana mtoto yaani maswali ambayo mwanaume huyo atajua upo serious na haupo tayari kuchezewa.
ha ha naangalia sana labda hiyo taarifa nilipishana nayoKwan wewe na taarifa ya habar si mlishagbana sishangai
Ni kweli usemacho, absolutely true!! Kuna uhuru wa kufanya ngono kwa kizazi chetu, umri wowote mtu anaweza kuamua kulala na wanaume/wanawake kadhaa na hakuna wa kumhoji, at the end we've created kizazi cha malaya na wahuni wanaotembea ovyo tu.hapo ndipo mnapobugi.....kisa a famous woman kafanya hivyo basi kumeficha mabaya yake kuwa alikuwa mzinzi. wewe ukweli ni kwamba mwanamke na mwanaume wanatakiwa waoe mapema laa sivyo tunakuwa ma malaya kama mnavyojionea kwenye jamii ya sasa. wangapi hapa wanaweza kuishi mpaka 30 wakiwa hawajazini?
Wenzako wanajisikia fahari, wewe unaona inakera. I don't really mind if my wife decides to go back to school. Kwanza elimu haina mwisho, besides she has her own goals to archive, who am I to be on her way!!!Pia anawatoto kutoka previous marriage kwahiyo Oprah kukosa mtoto haimsumbui, yaah Oprah kutafuta mwanaume mwingie hana muda at least anamtrust Graham kwa ushauri pia na company.
Inakera, mzee mzima unakwenda clinic nursing bag, una warm up maziwa.