Kwanini wanawake waliotendwa wanapenda kusali?

Kwanini wanawake waliotendwa wanapenda kusali?

hahahaaaaa duuu i can imagine hivi vinatokea kumbe......
Unajua mungu ndio kimbilio letu ika wengi tunamkumbuka wakat wa shida tu asa aloachwa alikuwa wapi kusali asiachwe??? anaona matatizo yameingia ndio kuanza kusali looo tunamchezea mungu kwa kweli

kwani anasali ili asiachwe ama ana sali ili Mungu amsaidie katika kipindi kigumu anachopitia...?

Kama siyo mpango wa Mungu lazma mtaachana tu hata usalije.....lakini Mungu anahitajika zaidi ili kile unachopitia kiwe chepesi kwako.......

Mungu ni mwenye huruma na upendo muda wowote yuko tayari kutusaidia hasa pale tunapomhitaji........kwahiyo mtu anapopata tatizo na kumrudia Mungu hamchezei bali ametambua kuwa yeye ni muweza wa yote.......
 
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.

Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.

Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.

na cc waislamu je au umefanya reseach huko kwenu tu
 
Me hata nikigombana na Muhibu wangu tu nakimbilia kwa Mungu...Siku Docta akinivuruga mbona Qiyamu layli huwa zinanihusuuu....baada ya hapo huwa nahisi kichwa kimetulia...
Mungu ndo kila kitu jamanii....
 
Me hata nikigombana na Muhibu wangu tu nakimbilia kwa Mungu...Siku Docta akinivuruga mbona Qiyamu layli huwa zinanihusuuu....baada ya hapo huwa nahisi kichwa kimetulia...
Mungu ndo kila kitu jamanii....

afu ukikimbilia kwa Mungu anakupa faraja ya moyo na utulivu wa akili.......unapangilia mambo yako vzuri na maisha yanaenda.........kuliko kuwa na tabia za ajabu kama umalaya.....ulevi.....etc....mana kuna baadhi ya wanawake wamekuwa malaya baada ya kuachwa na wapenzi wao........
 
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.

Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.

Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.

Sasa wewe una suggest wamgeukie shetani?!
 
afu ukikimbilia kwa Mungu anakupa faraja ya moyo na utulivu wa akili.......unapangilia mambo yako vzuri na maisha yanaenda.........kuliko kuwa na tabia za ajabu kama umalaya.....ulevi.....etc....mana kuna baadhi ya wanawake wamekuwa malaya baada ya kuachwa na wapenzi wao........

Sure...baada ya hapo hata kama nimekosewa najifunz kusamehe, huwa nawaza mimi nimemkosea Mungu mangapi lakini ananibariki kila siku...kwa nini nisimsamehe huyu ambaye hana ukamilifu...kama nimekosea baada ya hapo nakuwa na ule moyo wa kujishusha...
Asikwambie mtu matumaini yote yapo kwa Mungu basi tu huwa tunajisahau....!
 
Sure...baada ya hapo hata kama nimekosewa najifunz kusamehe, huwa nawaza mimi nimemkosea Mungu mangapi lakini ananibariki kila siku...kwa nini nisimsamehe huyu ambaye hana ukamilifu...kama nimekosea baada ya hapo nakuwa na ule moyo wa kujishusha...
Asikwambie mtu matumaini yote yapo kwa Mungu basi tu huwa tunajisahau....!

kweli kabisa....mie naona heri anayekimbilia kwa Mungu.....
 
Ngoja nianze kusali..naweza opoa mmoja huko!!
 
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.

Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.

Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.

Kuna Zaburi inasema, Mungu kwetu ni kimbilio na nguvu, msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso/matatizo/shida.
 
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.

Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.

Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.

Wewe unazungumzia kutendwa kivipi.
 
Mungu kwetu, Sisi ni kimbilio na nguvu msaada utakaoupata muda na wakati wote.
 
Back
Top Bottom