sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
ndo kawaida ya binadamu tulio wengi, yakishatukuta ndo tunamkumbuka Mungu
na yeye alituambiwa tunapopatwa na shida tumkimbilie yeye shida zetu atatazitatua........
ndo kawaida ya binadamu tulio wengi, yakishatukuta ndo tunamkumbuka Mungu
hahahaaaaa duuu i can imagine hivi vinatokea kumbe......
Unajua mungu ndio kimbilio letu ika wengi tunamkumbuka wakat wa shida tu asa aloachwa alikuwa wapi kusali asiachwe??? anaona matatizo yameingia ndio kuanza kusali looo tunamchezea mungu kwa kweli
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.
Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.
Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.
Me hata nikigombana na Muhibu wangu tu nakimbilia kwa Mungu...Siku Docta akinivuruga mbona Qiyamu layli huwa zinanihusuuu....baada ya hapo huwa nahisi kichwa kimetulia...
Mungu ndo kila kitu jamanii....
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.
Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.
Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.
afu ukikimbilia kwa Mungu anakupa faraja ya moyo na utulivu wa akili.......unapangilia mambo yako vzuri na maisha yanaenda.........kuliko kuwa na tabia za ajabu kama umalaya.....ulevi.....etc....mana kuna baadhi ya wanawake wamekuwa malaya baada ya kuachwa na wapenzi wao........
Sure...baada ya hapo hata kama nimekosewa najifunz kusamehe, huwa nawaza mimi nimemkosea Mungu mangapi lakini ananibariki kila siku...kwa nini nisimsamehe huyu ambaye hana ukamilifu...kama nimekosea baada ya hapo nakuwa na ule moyo wa kujishusha...
Asikwambie mtu matumaini yote yapo kwa Mungu basi tu huwa tunajisahau....!
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.
Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.
Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.
Hii nimeiona sana, mabinti au wanawake wengi waliotendwa na wanaume wanapenda sana kusali, na wanasema Mungu yupo, atanisaidia tu hata nisipopata Mume nitaendelea kumwabudu Mungu wangu, wengine husema.
Sasa nimemgeukia Mungu wangu na yeye ndiye jibu la moyo wangu.
Wengine inawabidi waimbe mapambio/kwaya tena kwa sauti kubwa kuliko zile za kawaida zinazoruhusiwa, wengine huwahi ibadani mapema na kukaa viti vya mbele au kati kati.
no risk no gain
ni vyema kuchagua fungu lililo jema.