Kwanini Wanawake wa Mbeya wana mashepu?

Kwanini Wanawake wa Mbeya wana mashepu?

Kwa kweli nimekah mbeya na nilikiwanasali hapo luanda kkkt .aise Kila mwanamke amefuta mzigoo cyo mtot cyo mama yaan duh kwa kweli mbeya mwanamke kuwa na kalio kitu cha kawaida Sanaa haswaa wanyakyusaa ...nitakuwa na ziara mwez ujao
 
😅😅😅😅we hupendi kabisaa au.
Mi napenda kupiga mtu akinichokoza ila naangalia na mtu mwenyewe Kama ananishinda mabavu nakimbia..😅

Ila kama nammudu mbona itakuwa habari hadi tbc watakuja..😜
 
Mi napenda kupiga mtu akinichokoza ila naangalia na mtu mwenyewe Kama ananishinda mabavu nakimbia..😅

Ila kama nammudu mbona itakuwa habari hadi tbc watakuja..😜
ukorofi tuu
Mi unanionaje utawezana au .😂
 
Mi napenda kupiga mtu akinichokoza ila naangalia na mtu mwenyewe Kama ananishinda mabavu nakimbia..😅

Ila kama nammudu mbona itakuwa habari hadi tbc watakuja..😜
Em nikuchokoze nione
 
Chap niandae nauli niende mbeya nami nikashuudie mishepu🤪🤣🤣🙉🏃
 
Wakuu kati ya maswali yanayogonga kichwa changu ni hili la kuhusiana na Wanawake Mbeya.

Nilienda Mbeya wakati wa rikizo, na nilipata kutembelea wilaya mbalimbali za Mbeya.

Nilichoshangaa kuona ni hiki, kila mwanamke niliye kua namwona alikua amebeba bonge la shepu nyuma lililo jazia.

Sasa nilijaribu kufikiria kwanini wanawake hawa wanamashepu kama hayo.

Angalia mahipsi hayo mwanangu, matoto yamenona ile mbaya.

Mambo ya miwowowo mwanangu.
Naibu spika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom