Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Mkitaka kutumia majina yenu fanyeni yafuatayo:
1. Kataeni kuolewa kwa mahali.(Binti yangu ataolewa bure kabisa)

2. Acheni kuwa tegemezi kwa kila kitu.

3. Hata ukiolewa na watu mashuhuri/matajiri kataeni majina yao.. Mfano ukiolewa na waziri, mbunge, utataka kutumia majina yake ila ukiolewa na mwalimu ndo utajinadi situmii majina yake.

4. Msing'ang'anie sana kuolewa, msioneshe sana nyie ndo mnahitaji sana kuolewa.

5. Mjiamini kama mnaweza wenyewe bila wanaume.

6. Acheni unafiki ukiolewa na bwana mafedha akisema tumia majina yako utalalamilka dunia nzima upendwi, ukiolewa na mwalimu, mtu wa kawaida utaleta jeuri.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mmmh tema mate chini Diva

Yaani hata uolewe na mtu maarufu kiasi gani hutaki kuosha kitaaa? mfano hutaki jina lako lisome 'mama salima kikwete'
Aaaah you kidding my friend!!! siko moyoni mwako lakini sikubaliani na ulichosema, chezea sifa weee!! kuna asiyependa sifa dunia hii??!! especially women, aaaaah acha kabisa bana!!

Bora useme...ila nimegundua humu tunadanganyana
 
Ni maandiko ya biblia takatifu, ktk kitabu cha nabii isaya ... basi watajikusanya wanawake hata saba wakimwambia mwanaume, basi utuoe tuondokane na aibu nasi TUITWE KWA JINA LAKO.

Mkuu isaya mstari wa ngapi nikaperuse?
 
Haaaa patia picha nigome kuitwa mama Heaven Kikwete... Haaaa No way
Kwanza karibu wale wanaowania kupitishwa CCM wanawake zao wanatumia majina ya wanaume

Sema wewe...mie tu girlfriend wangu anajivunia hapati tabu...akitaja tu mrs kipaji fasta anasikilizwa
 
Kitabu cha isaya unachosema hakna uhsiano na mada hii wanawake 7 kutaka kuitwa kwa mme 1 iko kinabii na sio unavyodhan
 
Anae amn bible hapat shda Hawa alkuwa wa Adamu hivo ke kutumia jna la me ni mpango wa Mungu
 
Haaaa patia picha nigome kuitwa mama Heaven Kikwete... Haaaa No way
Kwanza karibu wale wanaowania kupitishwa CCM wanawake zao wanatumia majina ya wanaume

Ukiolewa na kigogo inabidi tu ukubali jina lake la sivyo utakua unakosa mitego ya kuleta ugali nyumbani. Ila kwa mtu wa kawaida kama karani wa kiwanda cha mikate hupungukiwi chochote kutokutumia jinale.
 
mimi mke wangu sijalifuta ila nimeongeza la kwangu mbele!hata wahispania wanatumia mfumo huo wa majina ya ubini wa pande zote mbili though wao wanatanguliza ubini wa baba kisha wanamalizia na wa mama
 
Mmmh tema mate chini Diva

Yaani hata uolewe na mtu maarufu kiasi gani hutaki kuosha kitaaa? mfano hutaki jina lako lisome 'mama salima kikwete'
Aaaah you kidding my friend!!! siko moyoni mwako lakini sikubaliani na ulichosema, chezea sifa weee!! kuna asiyependa sifa dunia hii??!! especially women, aaaaah acha kabisa bana!!

Hahaha mito umenifurahisha mno.
 
Last edited by a moderator:
Dear Mbona mgomvi.. aaahhhaaaaaaa... ila sio wote .. ( Ka ukweli kanauma aaaaahhhhaaa ). Nimefurahishwa na hiyo facts ambayo INA exist .. After all mwanaume ni mwanaume tuu hata tujifanye wajuaji .. That's why ameitwa the head of the house .. Why? Because He is the man of the house with rules and highly respect. Kama hakutakiwa kupata yote hayo basi angeitwa Tail but he is the Head .. Thanks..

Una akili mewe njoo ufuturu jioni, kula like za kutosha!! Ur smart
 
Mi naitwa jina langu milele

ni sawa, hata ELTON JOHN anatumia jina lake is not big deal kutumia jina la mume, mbona hata watoto viongozi wengi wakubwa utumia majina ya baba zao, mfano watoto wa kawawa, malecela, nyerere etc
 
Uuuwiii unioee alafu uwe baba angu? mimi nikiitwa kwa jina lako na wanangu wataitwa kwa jina la baba angu? Sitaki hii kitu nasimama na majina ya kwetu mawili na ili lbd ijulikane niko ktk boma lipi baasi jina lka 3 ndio nitaje la uko wenu maana hiu kitu wanaume ndio wanawabdlshaga wake zao ili kumkuza mume na ukoo wake.
Ntafute kwa 07954729751 nikupe mchumba uolewe sio unazungumza usiyoyajua.........
 
"....Nanyi mmekuwa mwili mmoja....." . Chukulia mfano Wewe unaitwa Bwana makolola, ktk utambulisho ukiwa na Mkeo mtatambulishwa kama Bwana na Bibi makolola; na hata mkeo akiwa pekee yake ataitwa Bibi/Mrs makolola.

Sasa katika mazingira hayo akibaki na ubini wake, yaani jina la baba, atatambulishwa kama Bibi/Mrs (jina la baba yake), haitapendeza na kuleta picha nzuri coz yeye ni mtoto na si mke kwa baba yake.

Jina la baba yake atalitumia mama yake. sijui umenipata?

Kama ndo ivo mbona wanaume wasiitwe majina ya wake zao mfano john matha maana nae kaachana na wazaz wake akaambatana na mkewe
 
Last edited by a moderator:
Najiuliza kwanini mwanamke akiolewa anaachana na jina la baba yake mzazi na kutumia jina la mme wake kama ubin wake? Nini sababu ya hii maana pia naona iko kwenye tamaduni nyingi ni ipi hasa sababu inayopelekea hivyo?

Ukiona hivyo ujue madushee ya waume zao yamewakoroga akili!
 
Binafsi Mimi sioni problem. Ni maamuzi tuu ya wawili. Bibi yangu mzaa Baba ametumia Jina mumewe kuwa la Mwisho na LA babu yake mzaa baba kuwa middle name. Na mpaka sasa analo la mumewe hadi sasa. I think wengi wanaamua kufanya hivi for the Love , kumuheshimu mumewe ili nae ajihisi anatambulika na kumiliki Mali ile ( mke) haswa akiwa mke mwema.

Mfano Mimi mwenzangu ameshaongea na Mimi tukifunga ndoa ameomba nitumie last name yake and I am okay with it. Ila naona usumbufu tuu kuja Ku change vyeti and documents.. na hii kwa sababu ya uvivu tuu nothing else.. but otherwise its cool . Wanaume wengi huwa hawasemi tuu ila wanajihisi proud Kuwa anamiliki kitu Fulani ndani himaya yao including names.. na some of them wanafurahi wakiona wanamiliki mke yule .

Kwa maana nafsi zao zinawaambia it is the way that its suppose to be .. Jamani hivi ni vitu vidogo sana Ku solve .but utakuta vinavunja Ndoa hivi hivi. Ndio maana ni vyema to talk kuhusu hili kabla ya kuoana mfikiane. Thanks..

assume ndoa ikavunjika ukaolewa na mwingine... unaanza tena mchakato wa kubadili majina?
 
Back
Top Bottom