Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Mkitaka kutumia majina yenu fanyeni yafuatayo:
1. Kataeni kuolewa kwa mahali.(Binti yangu ataolewa bure kabisa)

2. Acheni kuwa tegemezi kwa kila kitu.

3. Hata ukiolewa na watu mashuhuri/matajiri kataeni majina yao.. Mfano ukiolewa na waziri, mbunge, utataka kutumia majina yake ila ukiolewa na mwalimu ndo utajinadi situmii majina yake.

4. Msing'ang'anie sana kuolewa, msioneshe sana nyie ndo mnahitaji sana kuolewa.

5. Mjiamini kama mnaweza wenyewe bila wanaume.

6. Acheni unafiki ukiolewa na bwana mafedha akisema tumia majina yako utalalamilka dunia nzima upendwi, ukiolewa na mwalimu, mtu wa kawaida utaleta jeuri.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Futa neno mwalimu katika akili yako kama ni mtu wa hali ya chini.
 
huo utamaduni wa kizungu zaidi, sie wa asili hata sio muhimu. na kwa watu wengi wanaitwa mrs flani kwenye jamii na social events ila kazini na vyeti vya elimu jina lake na la baba yake
 
Back
Top Bottom