Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,150
- 124,758
Coz you divorced me....! na mahari nilishapeleka ili uitwe kwa jina langu..ukanikataa wangu..lol
Hahahaa hiyo jeuri niliitoa wapi? labda nilikuwa nimelewa lol
Coz you divorced me....! na mahari nilishapeleka ili uitwe kwa jina langu..ukanikataa wangu..lol
One out of ten i.e 0.1% is negligible my dearest..I can't denied for what you are saying . But what I know is between 10 women you can never miss 1 or 2 who will share with you the same vision, love, passion, companionship and etc. Thanks..
Mwanamke anaachana na jina la Baba yake na kuchukua jina la Mme wake kwa sababu majukumu ya Baba yake (kula, kulala, mavazi, kusomeshwa n.k.) sasa yanahamia na yatafanywa na Mume wake. Hiyo ndio sababu kubwa ya kubadili jina. Ila pia baada ya muda hawa wanaume wanaolelewa nao itabidi wabadili majina yao kwenda kwa majina ya wale wanawake wanaowalea (Masugar Mammy) - kwa sababu hiyo hiyo niliyoileza hapo mwanzo.
Haya unayasema humu jamii forum tu kutokana na msongo wa mawazo.
Binafsi Mimi sioni problem. Ni maamuzi tuu ya wawili. Bibi yangu mzaa Baba ametumia Jina mumewe kuwa la Mwisho na LA babu yake mzaa baba kuwa middle name. Na mpaka sasa analo la mumewe hadi sasa. I think wengi wanaamua kufanya hivi for the Love , kumuheshimu mumewe ili nae ajihisi anatambulika na kumiliki Mali ile ( mke) haswa akiwa mke mwema. Mfano Mimi mwenzangu ameshaongea na Mimi tukifunga ndoa ameomba nitumie last name yake and I am okay with it. Ila naona usumbufu tuu kuja Ku change vyeti and documents.. na hii kwa sababu ya uvivu tuu nothing else.. but otherwise its cool . Wanaume wengi huwa hawasemi tuu ila wanajihisi proud Kuwa anamiliki kitu Fulani ndani himaya yao including names.. na some of them wanafurahi wakiona wanamiliki mke yule . Kwa maana nafsi zao zinawaambia it is the way that its suppose to be .. Jamani hivi ni vitu vidogo sana Ku solve .but utakuta vinavunja Ndoa hivi hivi. Ndio maana ni vyema to talk kuhusu hili kabla ya kuoana mfikiane. Thanks..
Binafsi Mimi sioni problem. Ni maamuzi tuu ya wawili. Bibi yangu mzaa Baba ametumia Jina mumewe kuwa la Mwisho na LA babu yake mzaa baba kuwa middle name. Na mpaka sasa analo la mumewe hadi sasa. I think wengi wanaamua kufanya hivi for the Love , kumuheshimu mumewe ili nae ajihisi anatambulika na kumiliki Mali ile ( mke) haswa akiwa mke mwema. Mfano Mimi mwenzangu ameshaongea na Mimi tukifunga ndoa ameomba nitumie last name yake and I am okay with it. Ila naona usumbufu tuu kuja Ku change vyeti and documents.. na hii kwa sababu ya uvivu tuu nothing else.. but otherwise its cool . Wanaume wengi huwa hawasemi tuu ila wanajihisi proud Kuwa anamiliki kitu Fulani ndani himaya yao including names.. na some of them wanafurahi wakiona wanamiliki mke yule . Kwa maana nafsi zao zinawaambia it is the way that its suppose to be .. Jamani hivi ni vitu vidogo sana Ku solve .but utakuta vinavunja Ndoa hivi hivi. Ndio maana ni vyema to talk kuhusu hili kabla ya kuoana mfikiane. Thanks..
Wewe unatarajia kumilikiwa na mumeo?? karne hii?? Mimi similiki mtu na nafikiri si sahihi mwanamke kubadili jina, haina mantiki yeyote.Binafsi Mimi sioni problem. Ni maamuzi tuu ya wawili. Bibi yangu mzaa Baba ametumia Jina mumewe kuwa la Mwisho na LA babu yake mzaa baba kuwa middle name. Na mpaka sasa analo la mumewe hadi sasa. I think wengi wanaamua kufanya hivi for the Love , kumuheshimu mumewe ili nae ajihisi anatambulika na kumiliki Mali ile ( mke) haswa akiwa mke mwema. Mfano Mimi mwenzangu ameshaongea na Mimi tukifunga ndoa ameomba nitumie last name yake and I am okay with it. Ila naona usumbufu tuu kuja Ku change vyeti and documents.. na hii kwa sababu ya uvivu tuu nothing else.. but otherwise its cool . Wanaume wengi huwa hawasemi tuu ila wanajihisi proud Kuwa anamiliki kitu Fulani ndani himaya yao including names.. na some of them wanafurahi wakiona wanamiliki mke yule . Kwa maana nafsi zao zinawaambia it is the way that its suppose to be .. Jamani hivi ni vitu vidogo sana Ku solve .but utakuta vinavunja Ndoa hivi hivi. Ndio maana ni vyema to talk kuhusu hili kabla ya kuoana mfikiane. Thanks..
Wewe unatarajia kumilikiwa na mumeo?? karne hii?? Mimi similiki mtu na nafikiri si sahihi mwanamke kubadili jina, haina mantiki yeyote.
Hillary clinton. Michelle obama,Annah Mkapa,Tunu pinda, nk walikua wanaitwa zamani ila sasa hawaitwi sio? wanawake wa humu mko desperate sana.
Hillary clinton. Michelle obama,Annah Mkapa,Tunu pinda, nk walikua wanaitwa zamani ila sasa hawaitwi sio? wanawake wa humu mko desperate sana.
Mi hata niolewe na nani si change jina hayo ya Ku change yalikua ya middle ages.
Naunga mkono hoja asilimia mia moja. Kisa cha kubadili jina ni eti kumu empress mwanaume kuonyesha umiliki. Sifanyi huo ujinga Mimi.
Mmmh tema mate chini Diva
Yaani hata uolewe na mtu maarufu kiasi gani hutaki kuosha kitaaa? mfano hutaki jina lako lisome 'mama salima kikwete'
Aaaah you kidding my friend!!! siko moyoni mwako lakini sikubaliani na ulichosema, chezea sifa weee!! kuna asiyependa sifa dunia hii??!! especially women, aaaaah acha kabisa bana!!
Hiyo ni kama umeolewa na mume wa kawaida sana, lakini kama ni somebody, weeee mbona unabadilisha mwenyewe tu bila hata kuambiwa!!!