Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Kwanini wanawake hutumia majina ya waume zao wanapoolewa?

Okay

Hahaaaaa natema mate ila sibadilishi. Yote kamwe mfano itakua Diva beyonce..... LA kwangu na malizia labda ka ni mito. Sifa hazikwepeki aisee hasa kwa waheshimiwa first class.

Umeona eeh!! hapo sawa, now we are talking the same language!
 
Wengi hata kama wanatumia majina yale ya mwanzo ni katika vyeti ila katika halaiki au utambulisho hutumia ya waume wao...vinginevyo mwanamke huyo hajaolewa
 
Kuna heshema bana kuitwa mrs Shikwashikwa hata unavyojitambulisha jamii inakuheshimu.
Mke wangu mtarajiwa tayari ameshaanza kuchukua zoezi rafiki zake wote wanamuita mrs shikwa
 
Ni maandiko ya biblia takatifu, ktk kitabu cha nabii isaya ... basi watajikusanya wanawake hata saba wakimwambia mwanaume, basi utuoe tuondokane na aibu nasi TUITWE KWA JINA LAKO.

Kwa hiyo jina la baba ni Aibu?
 
Duh Kweli haya mapenzi ya dotcom, kila kitu ni consultation kumbe, i thought it's automatic ukiwaolewa!!!??

Hii inaitwaa open relationship unaficha now halafu baadae iweje ? Ndio hapo kisa cha kuja JF na kumwaga machozi .. Ongea usikike now . Kama Mwenzio ataweza sawa na asipoweza basi kazi inakuwa kwako mleta mada kusuka ama Kunyoa.

Na ndio maana ni vema kuwa mkweli kwa partner wako since mkiwa MNA mdate,uchumba . Ikija ndoa basi tena vinavyofuata ni matendo tuu na kukabiliana na challenge nyingine zinazohusu ndoa na family .

Sio vitu vya uchumba ndio mnaanza kuambizana ndani ya ndoa na kuanza kulalamika ooh hukuniambia hivi tulipokuwa uchumbani .. Hey after all kila MTU na upangaji wake Wa maisha .. Kumbuka ulichopanda ndicho utakachovuna.. Thanks..
 
Wewe unatarajia kumilikiwa na mumeo?? karne hii?? Mimi similiki mtu na nafikiri si sahihi mwanamke kubadili jina, haina mantiki yeyote.

Dear that's why your name is mjasiria and I am loveissweet . We are different people from different background, culture, dreams, visions and Belief . We can never be the same otherwise it will be boring... It doesn't matter what Century we are in n. The truth uko pale pale that we are not the same .. You are who you are because of the way you are . And I am who I am because of who I am.. Thanks..
 
Hiyo ni kutokana na ubishi wako wewe. Huwezi ukaolewa then ukabakiwa na jina lako hilohilo. Labda kama uliolewa ukaachika.

ni wewe tu unavyojitambulisha mi hao wanaoniita mrs fulani ni wao ila kila ninapo jitambulisha mahali najitambulisha kama shansarie na wananiita shansarie na si vinginevyo.
 
Mwanamke huko ulaya alikua akiwekwa katika kundi ya property anazo miliki mwanaume. Mwanamke alikua hawezi kununua au kumiliki mali hana locus standi yaani hawezi kuingia mkataba.
Baada ya struggle ya muda mrefu hali ilibadilika lakini ile stutus kuwa ni sawa na mali ya mumewe bado inaendelea hivyo ndio hizi mrs za jina la mwana ume.
 
Khaa!! Maana yake ni rahisi tu. Ni kwamba baba katua zigo la shida za bintiye kisha anatupiwa mume wake. Btw inategemea pia na jina la mumewe.. Hebu fikiria unaitwa mrs maso.....
 
Ni wanawake wapumbavu tu ndio wenye ujinga huo, wanawake wanaojielewa hawakubali upuuzi huo.yaani hujui yupi mke yupi mtoto.
 
Hillary clinton. Michelle obama,Annah Mkapa,Tunu pinda, nk walikua wanaitwa zamani ila sasa hawaitwi sio? wanawake wa humu mko desperate sana.

Mkuu tukiacha utamaduni tulio uzoea, usiumize kichwa hawana jeuri ya kukataa kutumia majina yetu hasa ukiwa na mpunga wa kutosha.. Au umesahau watakutegemea wewe kwa kila kitu hata kama ana kazi nzuri .. Ukienda kuoa lazima ununue mzigo(kutoa Mahali) unategemea nini hapo??

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom