Habari wakuu
Jana nikiwa kwenye gar kutoka mawasiliano to kawe. Kulikuwa na mjadala mfupi kwamba eti wanawake asili inawazuia wanawake kuuza bucher!
Na mm nikaanza kuwaza bila kupata majibu , hadi leo hata mm sijawahi kumwona Mwanamke akiuza nyama buchani!! Sasa ndo hapa nikipata kapicha na maswal mengini tu ya hili!!
Je ww unajua hili!!??
Tujuzane wadau!!
Karibuni
Jana nikiwa kwenye gar kutoka mawasiliano to kawe. Kulikuwa na mjadala mfupi kwamba eti wanawake asili inawazuia wanawake kuuza bucher!
Na mm nikaanza kuwaza bila kupata majibu , hadi leo hata mm sijawahi kumwona Mwanamke akiuza nyama buchani!! Sasa ndo hapa nikipata kapicha na maswal mengini tu ya hili!!
Je ww unajua hili!!??
Tujuzane wadau!!
Karibuni