Unaweza kuwa right kwa unachokisema, lakini ni vema uelewe huku kuna watu wa kila aina, wengine wanapenda kuandika tu bora waonekane wamepost something au kuanzisha new thread. Nitakukumbusha tu kwamba kama unaishi kwenye nyumba ya vioo usiwe wa kwanza kurusha mawe maana walio nje wakianza utafia humo. Juzi tu ulianzisha thread ya kwamba umekaa iki hujatongozwa na unaona kama una nuksi, sisi wengine pia tunaona yale ni mambo ambayo ni personal, kwa ufupi hakuna cha kujadili kama umezoea kutongozwa sisi wengine haituhusu. so understand kuna watu wa aina hiyo, inabidi tu tuvumiliane ili jf iendelee kuwepo. sorry kama nimekukwaza sister.