Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Hata uwe Bilionea Mwanamke kupewa matumizi mdogo madogo na Mpenz ni muhimu, maana humfanya mwanaume awe responsible kwa bibie, Dada chukua hao choka mbaya mmoja mkarabati muanze chini ukufika juu utawapa nafasi wanawake wenzio nao walalamike, hakuna gumu lisilo ufumbuz choka mbaya wa leo furaha ya kesho mpenz
Unamtetea mwenzako kwa nguvu
 
Na bado mbona,mtalia sana mwaka huu na hadi mwaka keshokutwa mtashika adabu.ishu sio choka mbaya bali hali ni ngumu so hakuna wa kutoa hela hovyo siku hizi,hata elfu5 ukipewa safari hii utasema "asante baby" wakati zamani mlikuwa mnasema "hela gani hii?"
 
Esther nakufaham unasoma chuo cha ushonaji hapa vingunguti,mnaishi Moshi Bar ukonga,Aina ya watu wanaokuzunguka ndo wanakutongoza.

Unatoka na fundi gereji,Kuruta,Bodaboda alafu wataka tajiri wa vits akutongoZe
Gadem.... chuo cha ushonaji???

Anataka kushona gagulo au vyupi??
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls
[emoji23][emoji23][emoji23]akianza maskini mmoja
wanaofata wote maskini...
ndo hivo mama vumilia tu
tafuta hela zako
waweza kuwa mzuri na bahati usiwe nayo mama..
 
Na bado kwa jinsi Magu anavyozidi kubana hata hiyo 30, 20 utaisikilizia kwenye bombaa....Wanaume wengi wameacha vimada vyao wale waliokuwa wanawaendeshea maisha kwa ajili ya pesa za mkato...Na baadhi ya kina dada waliokuwa wamezoea kuendesha maisha kwa kutegemea kuhongwa hongwa wanateseka sana sasa...
*tunatesekekajeee*
 
Wanawake Ambao Wavivu Wakufanya Kazi Na Failure Katika Maisha Wanapenda Kuongwa Sana Hvi Amjifunzi Kupitia Kina Beyonce Na Jay Z Unakuta Jitu Livivu Kila Kitu Lakni Lnamendea Poch Ya Mshkaj Anaepasua Kchwa Mda Wote Kisa Nyuki Alionao Ass Hole!,Mnadai 50/50 Shame On U! Tafteni Zenu Wavivu Nyie
 
Kwan we unataka pesa au mapenzi? Na kama unataka pesa baasi shobokea mameneja na matera wa BOT. Then make sure uwe na mvuto, kama mvuto huna baasi karoge
 
Kuna nini unachouza hadi ufikirie kipato cha mtu. Wanawake wa mawazo kama yako katika mapenzi ni jipu baya sana
 
ndege wafananao huruka pamoja wamemfata choka mbaya mwenzao!

huna aibu kusema ukiambulia sana ni 30k kwan huyo baba ako tafuta vyako ndugu la sivyo sehem yako ya chini itateseka
 
Back
Top Bottom