Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Mazingira yanayokuzunguka ni wa aina hiyo... usiwaite wenzio choka mbaya... mwenye uwezo anakuona hufai***** hata hiyo 20 nyingi...
 
Unataka kuwa na mwanaume ili akupe hela?? Tafuta zako uepukane na hizo 20 na 30. Hivi kwa nn wadada mnapenda vya bure?? Ndo mana watu wanawatifuatifua tu.
Kuna namna nyingi ya kuvuja jasho so usimuite mwenzio mpenda vya bure hujui jasho analolitoa
 
Wazungu wana kamsemo kao 'birds of the same feather flock together' na waswahili nao wanasema waarabu wa pemba wajuana kwa vilemba. Daima anaepaswa kuhongwa haombi hongo. Natumai utapata jibu kupitia vimsemo hivyo
Kwan kasema anahongwa au anapewa? Kwan kutoa ni dhambi?
 
Hata uwe Bilionea Mwanamke kupewa matumizi mdogo madogo na Mpenz ni muhimu, maana humfanya mwanaume awe responsible kwa bibie, Dada chukua hao choka mbaya mmoja mkarabati muanze chini ukufika juu utawapa nafasi wanawake wenzio nao walalamike, hakuna gumu lisilo ufumbuz choka mbaya wa leo furaha ya kesho mpenz
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls
TUPIA PICHA YAKO TUKUTHAMANISHE........................
 
aiseee tafuta zako mamy...utaishia kutongozwa hadi lini kumbuka kuna kuzeeka ukizeeka utaendelea kutongozwa...
Tibaijuka.jpg

unazani huyo angetegemea kutongozwa na wenye fedha wakamuhonga angefika hapo alipofikia...ivi sasa yeye ndie anaewahonga wanaume...
 
Sikuhizi watu wanaangalia cost benefit analysis ndo wanatoa hela,sasa kama unafail cost benefit analysis ujuwe utalipwa pesa kufuatana na thamani yako
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls

........................................Usilalamike wewe mshukuru Mungu,kwani wenzako wengine hawatongozwi wala kupata nafasi hiyo ya kutongozwa,.......................tena huwa wanatafuta hata wa kuwatongoza ili wawa honge,...................................komaa tongozeka,na ikibidi utiwe kabisa....................................uko wapi
 
Kama wanajua mapenzi, kujali, wamajiweka vizuri kiusafi na kujipenda, wanaheshima n.k. hapo hakuna shida kabisa ungejaribu kuwapa nafasi. maana pesa sio kila kitu mwanamke unawapa ushauri na kuwasapoti kujijenga.

Usisahau pia kujiangalia wewe ukoje pia na ujibadili.


Tatizoooo Ndoroooooooooooooboooooooooooooo huyuuuuuuu mzurimie
 
Back
Top Bottom