afande kifimbo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2015
- 6,254
- 2,678
Unafanya shuguli gani na elimu yako ipi
Kwa huu usawa wa JPM ulivyobana jamaa akikutoa mkapata drinks, dinner and nice hotel kumalizia yale mambo yetu, then asubuhi ukapata 30,000 bado unalalamika? Kumbuka jamaa atakuwa kwa uchache kutumia 100,000Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye30,000 enzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.
Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls