Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls
Inaonekana nawe umekaa kichoka mbaya ebu jaribu kujiweka wa high class afu uone itakuaje
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls
Ndo maana nawakubali sana wahenga waliosema wa mbili havai moja
 
JPM Noma, Tena Ww Uko Juu, Mimi Sasa Hivi Mchepuko Haupati Zaidi Ya 10, 000
 
huduma hulipiwa kutokana na thamani ya halisi ya kitu....

ndio maana soda ni 500/600 halafu bia 2500-3500
 
Una nyota ya uswahilini...pole cheap chick...jaribu mtandao pendwa pengine dau litaongezeka kidogo
 
Amkeni wanawake tusake hela pamoja...otherwise ur pubic part will suffer to the maximum
 
Esther nakufaham unasoma chuo cha ushonaji hapa vingunguti,mnaishi Moshi Bar ukonga,Aina ya watu wanaokuzunguka ndo wanakutongoza.

Unatoka na fundi gereji,Kuruta,Bodaboda alafu wataka tajiri wa vits akutongoZe
hahahahahahahahahahahaha! Nilikuwa na streesss leo balaaa ila zimeyayuka zote! Wee jamaa umeuwa winga nasubiri aje akanushe aseme yupo UDSM
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls
Hao choka mbaya ndiyo type yako cha msingi kubaliana na hiyo hali.
 
Hebu tupia picha yako tuione kama unastahili dau kubwa au wanakupa kikubwa kuliko unavyostahili ???
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls
Endelea kukimbia wanaokupenda wafuate wanaokuchezea.
Time will tell
 
Inaonekana nawe umekaa kichoka mbaya ebu jaribu kujiweka wa high class afu uone itakuaje
Yeye lengo lake nikuwa high classic lakn anatafta wa kumuweka hapo na anaowapata ndo hao choka mbaya, labda tumshauri awaunganishe ka 10 hivi then baada ya miez 6 anawapiga chini wote anabaki anatafta mwenye adhi anayotaka.
 
Back
Top Bottom