Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

Kwanini wanaume wanaonitongoza ni choka mbaya?

If U want to catch a "monkey" , U must learn how to jump like a monkey.....a word of wisdom 4u.
 
Achana na mapenzi katafute mkopo au kajiunge na vikoba huko utapata zaidi ya elfu 30.
 
Je wee ni mzuri? Au ni choka mbaya? Mtu kakupa sh elf 30 au 20 mwanzoni sio mbaya, mwishowe atakupa milioni mbili, kukujengea nyumba na hata kukunulia gari. Uwe na subira tu mami wangu bila kusahau hao choka mbaya sio vilema na utajiri na mafanikio upo mbele yao.
 
biashara ya mapenz inalipa sna mtaji mwili wako.
 
....badala utafute kazi ufanye unasubiri pesa za wanaume!, wewe ni kahaba.
 
Ndio kiwango chako hicho dada kwann ulazimishe level isiyofanana nawe? Wanaume wenyewe wana vipimo vyao, nasi huwaga inatuumiza sana tunapotoa pesa nyingi kwa mwanamke wa type yako, hujiona mahala,... Na ndio maana hata hao wenye pesa hawawezi wakatoa kiasi kikubwa, yaani ni sawa na kununua cm fake.... Take it.
 
Tena wao mbona wanakupa nyingi hivyo!!! Duuh, saa hizi ni mwendo wa buku 5.....1 0 stop.
 
Utu wako una thamani sana mamy wangu,wa kwako atakapokuja hutaangalia maslahi bali moyo wako tu ndo utakaoongea
 
Esther nakufaham unasoma chuo cha ushonaji hapa vingunguti,mnaishi Moshi Bar ukonga,Aina ya watu wanaokuzunguka ndo wanakutongoza.

Unatoka na fundi gereji,Kuruta,Bodaboda alafu wataka tajiri wa vits akutongoZe
mh! Mkuu umemsema vibaya hivyo..ulimtongoza akakukataa
 
Birds of the same feathers flock together
 
We ulitaka ngapi? au unataka alipwe mshahara? Choka mpaya? Mwanaume smart utamtambua kwa upeo wake wa kufikiri na kukabili changamoto. Ok we wakati wanakuja kwako wanakuta umevaaje ? kama mapigo yako ni buku 20 ukipewa 30 shukuru maana umepata na bonus.
 
Kwa asilimia 99 wanaume wanaonitokea wengi wao ni choka mbaya halafu ndo wenye mapenzi ya kweli sijui kwanini. Ila nikimpata mwenye nazo ni mbahili, hatari ela yake kupata utaambulia elfu 30 au 20.

Hii ni kwangu tu au? Matusi sitaki pls

Dada! Kwani unawangapi? Achana na kurukiwa rukiwa Kama mpira wa kona, kuwa na mmoja, pesa ni matokeo
 
Back
Top Bottom