Kwanini Wanaume Hawapendi................................

MJ1 kwa hiyo wewe hata mumeo akikosea huongei naye kisa???? Acha mambo zako bana kha??!!! Kwanini nisimwambie yeye ni malaika hakosei?? "We need to talk"
hiyo post ya mjukuu mtiifu kama utaisoma na kuielewa basi unaweza, ukalikosoa dume lako na ukaliona linacheka cheka kama b w e g e tu na likawa kila siku linaomba mungu ulikosoe tena. nazani kina mama mnakosea approach. Wanaume tumeumbwa kwa testesteron bana nyie mmeumbwa kwa oestrogen na progesterone, approach lazima ziwe tofauti.
 
Ankal MJ1 amemaliza kila kitu ila hawa mabinti inabidi warudie kusoma posti yake vizuri ikibidi waprint kabisa wakabandike kwenye mlango

hehehe hawa mabinti sio kwamba hawajaelewa lakini michezo ya kanumba inawaasiri kisaikolojia.
hapo red: she is one in a million
 
Mamito nisome vizuri.........kuna sehemu nimesema siongei ?

Nimesoma katikati ya misitari na kukuelewa kwamba unasema tusiwachoshe na we need to talk, ofisini nk wanaambiwa sasa what is the way forward??? tuwaambie we need to talk or not??? If not what to do...................
 
hiyo post ya mjukuu mtiifu kama utaisoma na kuielewa basi unaweza, ukalikosoa dume lako na ukaliona linacheka cheka kama b w e g e tu na likawa kila siku linaomba mungu ulikosoe tena. nazani kina mama mnakosea approach. Wanaume tumeumbwa kwa testesteron bana nyie mmeumbwa kwa oestrogen na progesterone, approach lazima ziwe tofauti.

Ha ha ha umeamua kutema cheche sasa bahati yako Groan imeondolewa....................
 
Hizi talk talk za kawaida zinazokuja bila kupewa taarifa zinavyokera.....
Sasa hii ya kupewa taarifa kabisa si inakua balaa?
Am in luv with what MJ1 suggested....:A S 41:
 
hiyo post ya mjukuu mtiifu kama utaisoma na kuielewa basi unaweza, ukalikosoa dume lako na ukaliona linacheka cheka kama b w e g e tu na likawa kila siku linaomba mungu ulikosoe tena. nazani kina mama mnakosea approach. Wanaume tumeumbwa kwa testesteron bana nyie mmeumbwa kwa oestrogen na progesterone, approach lazima ziwe tofauti.
Ahaaaa ahaaa ahaaaa NO COMMENT
 
Nimesoma katikati ya misitari na kukuelewa kwamba unasema tusiwachoshe na we need to talk, ofisini nk wanaambiwa sasa what is the way forward??? tuwaambie we need to talk or not??? If not what to do...................
Dena hivi unapokuwa na shida flani au unatamani kitu flani ambacho mumeo anapaswa kukupatia/nunulia huwa unaombaje?
Njia hiyo hiyo tumia na ndo maana huwa tunaambiwa epuka kutoa dukuduku lako ukiwa na hasira.............. kwenye mwanga hafifu, mandhari tulivu tena ikiwezekana ukiwa mmetoka 'KUPUMZIKA' anza taratibu.... baby unajua nini...... unalimwaga taratibu kwa sauti nyororo uone kama hayajatokea alosema klorokwini hapo mamii.

Wengine wahuni hufanya hayo mtu akiwa 'KAZINI' anaishia tu kunguruma......sirudii tena, sirudii tena, sirudii tenaa'
Ah mamii naomba niondoke hapa sipo mwari
 
hiyo post ya mjukuu mtiifu kama utaisoma na kuielewa basi unaweza, ukalikosoa dume lako na ukaliona linacheka cheka kama b w e g e tu na likawa kila siku linaomba mungu ulikosoe tena. nazani kina mama mnakosea approach. Wanaume tumeumbwa kwa testesteron bana nyie mmeumbwa kwa oestrogen na progesterone, approach lazima ziwe tofauti.

Je wanawake na wanaume wote wana levels sawa za hizo homoni, respectively.
 
Hizi talk talk za kawaida zinazokuja bila kupewa taarifa zinavyokera.....
Sasa hii ya kupewa taarifa kabisa si inakua balaa?
Am in luv with what MJ1 suggested....:A S 41:

Ha ha ha ha wale wale kumbeeee...................nimegundua
 
Dena hivi unapokuwa na shida flani au unatamani kitu flani ambacho mumeo anapaswa kukupatia/nunulia huwa unaombaje?
Njia hiyo hiyo tumia na ndo maana huwa tunaambiwa epuka kutoa dukuduku lako ukiwa na hasira.............. kwenye mwanga hafifu, mandhari tulivu tena ikiwezekana ukiwa mmetoka 'KUPUMZIKA' anza taratibu.... baby unajua nini...... unalimwaga taratibu kwa sauti nyororo uone kama hayajatokea alosema klorokwini hapo mamii.

Wengine wahuni hufanya hayo mtu akiwa 'KAZINI' anaishia tu kunguruma......sirudii tena, sirudii tena, sirudii tenaa'
Ah mamii naomba niondoke hapa sipo mwari


Ninafanya zaidi ya hapo lakini.............................
 
Mmmh! Hata kama mimi mwanaume lazima niwe na wasiwasi. Bora huyo anakwambia leo. Mwingine anakwambia weekend tutazungumza kitu fulani. Ukiangalia ndio kwanza j3.
 
Je wanawake na wanaume wote wana levels sawa za hizo homoni, respectively.
ofkoz nop! lakini tofauti ya level haina athari kubwa kama tofauti ya aina . men and women can never be equals. hata mikutano ya beijing ikifanywa dodoma. nimejibu haraka haraka,nitalejea baadae kukujibu kwa uwazi zaidi, nawahi press conference hapa kulaani "ubakaji wa wanyama".
 
Dena hivi unapokuwa na shida flani au unatamani kitu flani ambacho mumeo anapaswa kukupatia/nunulia huwa unaombaje?
Njia hiyo hiyo tumia na ndo maana huwa tunaambiwa epuka kutoa dukuduku lako ukiwa na hasira.............. kwenye mwanga hafifu, mandhari tulivu tena ikiwezekana ukiwa mmetoka 'KUPUMZIKA' anza taratibu.... baby unajua nini...... unalimwaga taratibu kwa sauti nyororo uone kama hayajatokea alosema klorokwini hapo mamii.

Wengine wahuni hufanya hayo mtu akiwa 'KAZINI' anaishia tu kunguruma......sirudii tena, sirudii tena, sirudii tenaa'
Ah mamii naomba niondoke hapa sipo mwari
MJ1 huwa hawasomi alama wanaleta hivyo hivyo ilivyo, hapo kwenye bluu umenikosha:yield::yield:
 
Ninafanya zaidi ya hapo lakini.............................
Usikate tamaa ............kuwa mbunifu zaidi ikiwezekana jaribu hiyo ya on-job service ................

(nyamayao akija hapa atanichapa viboko kwa kuwaremba hawa wakaka)

Sikatai wapo wengine ambao wameumbwa tofauti na hawa basi tatizo haliishii kwenye kusikiliza tu hizo 'we need to talk zetu'.
 
Usikate tamaa ............kuwa mbunifu zaidi ikiwezekana jaribu hiyo ya on-job service ................

(nyamayao akija hapa atanichapa viboko kwa kuwaremba hawa wakaka)

Sikatai wapo wengine ambao wameumbwa tofauti na hawa basi tatizo haliishii kwenye kusikiliza tu hizo 'we need to talk zetu'.

Ha ha ha ha nilijua tu kama yangu siku ileeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom