Kwanini Wanaume Hawapendi................................

Tatizo kina dada huwa hamuongelei kitu mpaka kimefika pabaya,jaribuni kutatua hapo linapotokea badala ya kuyakusanya mpaka siku ya kuyaongelea linakuwa kama bomu.
 
kwa jamii yetu tulivyozea ukimwambia mpenzi wako, 'TODAY WE NEED TO TALK' moja kwa moja mweza wako anajua kuwa kuna mazungumzo kuhusu kuelezana makosa, kutoa ushahidi kwa jambo ulilofanya au usilofanya, au kutoa kauli za kuachana kabisa, kutokana na hii, mwanaume yeyote ukimwambia hivyo lazima atafute njia ya kukukwemba, kwa suluisho la jambo hili, inakubidi umzoeshe mpenzi wako kutumia kauli hiyo kwa kumuelza na mazuri pia na si mabaya kila siku, kwa mfano, unamwambia mpenzi wako leo inabidi tuzungumze kuhusu jambo fulani, na baadae jambo lenyewe ni kumweleza jinsi gani unampenda na kuhisi wivu pale anapochelewa kurud nyumbani, au ukamweza kwa nn promise zake huwa hewa, hii nadhain itampelekea wanaume kujihis yuko huru na hata kukwepa pale pindi utapomuomba muzungumze na naye,
 
Mawazo yangu yanalenga jinsia zote. Kuna ufundi wa kuwasilisha hoja kutegemea na aina ya unavyomfahamu wako. Ikiwa mtu wako ni mapepe na kuna kitu kinakugusa sana, usimpe muda wa kuwaza wala kutafuta sababu. Muanzie kwenye kiini cha tatizo na wala sio kupeleka mkono mdomoni kwa kuupitisha juu ya kichwa na kuteremsha chini, i.e beating around the bush. Nakusudia, pasua moja kwa moja. Isitoshe hiyo kauli ya kuwa "leo INABIDI tuzungumze kuhusu JAMBO FULANI", jambo gani?, imekalia kishari shari. Ukimwanzia hivyo tu machale yanamcheza na kumpa muda wa kukimbia mada.

Lakini ikiwa mwenzako ni msikivu, ndani hamna "tension", kunakuwa na hali ya kujiamini na kuaminiana baina yenu, kwa hiyo atapenda mzungumze kila kitu, atakusikiliza kwa makini akikufikiria wewe zaidi na "worries" zake kuliko yeye.
 
Naunga mkono hoja, hata mimi sipendi tabia ya mwanamke kunuweka alert, nabakia kujiuliza kulikoni muda wote kabla ya kufika muda wa kuambiwa.

We Chapa Nalo ndo wale wale muone kwanza "We need to talk today at............"
 
Tatizo kina dada huwa hamuongelei kitu mpaka kimefika pabaya,jaribuni kutatua hapo linapotokea badala ya kuyakusanya mpaka siku ya kuyaongelea linakuwa kama bomu.

Umeongea ukweli kabisa ha ha ha ha Uporoto bana
 
Sijui kwa nn wanafanya hivi halafu usishangae kosa kafanya yeye atajitetea na kuligeuza uonekane wewe msichana ndo mkosaji

Umenisemea ambayo sikuyasema kupotezea fulani kha kumbeeeee.......................JF sante sana

Hapo ndipo nilipolenga yaani atakavyoipotezea utashangaa

Naunga mkono hoja, hata mimi sipendi tabia ya mwanamke kunuweka alert, nabakia kujiuliza kulikoni muda wote kabla ya kufika muda wa kuambiwa.

Nyie kina ndugu hebu msinichekeshe.............tangu lini viumbe hawa wakaonywa, semwa au lalamikiwa kwa staili hii na kuwasikiliza?
Bibi zetu walitufunza..mwanaume husikiliza upesi sana sauti za vilio vya mahaba na kubembeleza. Wanaume hupenda kuonyeshwa kuwa wao ndio wao bila wao hakuna kitu, wanaume hupenda kudhihirishiwa kuwa wameoa na si mmeoana............

Tumieni nafasi zenu, art zenu na sauti zenu kufikiza malalamiko yenu, kero zenu na si kuombea tu mshiko na magari au nguo mpya!!

Msiwachoshe bana ..ofisini we need to talk, kwa marafiki ...lets talk na nyumbani pia we need to talk jamani??
 
Nyie kina ndugu hebu msinichekeshe.............tangu lini viumbe hawa wakaonywa, semwa au lalamikiwa kwa staili hii na kuwasikiliza?
Bibi zetu walitufunza..mwanaume husikiliza upesi sana sauti za vilio vya mahaba na kubembeleza. Wanaume hupenda kuonyeshwa kuwa wao ndio wao bila wao hakuna kitu, wanaume hupenda kudhihirishiwa kuwa wameoa na si mmeoana............

Tumieni nafasi zenu, art zenu na sauti zenu kufikiza malalamiko yenu, kero zenu na si kuombea tu mshiko na magari au nguo mpya!!

Msiwachoshe bana ..ofisini we need to talk, kwa marafiki ...lets talk na nyumbani pia we need to talk jamani??
Ahaaaa ahaaaa Mjukuu nafanya home delivery ya Marunyagi leo kwako katoni mbili for this useful post
 
Nyie kina ndugu hebu msinichekeshe.............tangu lini viumbe hawa wakaonywa, semwa au lalamikiwa kwa staili hii na kuwasikiliza?
Bibi zetu walitufunza..mwanaume husikiliza upesi sana sauti za vilio vya mahaba na kubembeleza. Wanaume hupenda kuonyeshwa kuwa wao ndio wao bila wao hakuna kitu, wanaume hupenda kudhihirishiwa kuwa wameoa na si mmeoana............

Tumieni nafasi zenu, art zenu na sauti zenu kufikiza malalamiko yenu, kero zenu na si kuombea tu mshiko na magari au nguo mpya!!

Msiwachoshe bana ..ofisini we need to talk, kwa marafiki ...lets talk na nyumbani pia we need to talk jamani??

MJ1 kwa hiyo wewe hata mumeo akikosea huongei naye kisa???? Acha mambo zako bana kha??!!! Kwanini nisimwambie yeye ni malaika hakosei?? "We need to talk"
 
We need to talk... kabla ya kufikia hiyo talk lazima mwanaume aji-screen kwanza kuona any weak portion aliyo-commit, na how to defend it... Baba ukiingia kichwa kichwa utagalagazwa ooohoo!
 
Nimepata kuona, kusikia na kutendewa hiki kitu.

Nauliza hivi kwanini Wanaume hawapendi kuambiwa:

"Leo inabidi tuzungumze kuhusu jambo fulani" "Today We need to Talk"msisitizo.

Nimeona ukishamwambia hivyo kama mapenzi yanapungua au sijui ni kujiamini kunapungua sana, halafu atajizungusha mpaka usahau tena wakati mwingine unakuta kuna kosa hivi au kakwambia kitu ukaona ni vyema kuzungumza kwa kina lakini atayeyusha na kuipotezea kwa mbali.

Wenzangu mmewahi kuona au kukutana na kitu hii au ni mimi peke yangu???

Naombeni ushauri wenu.....

DA

Sio wanaume wote, kuna wengine usipowapeleka mbio kihivyo wananuna.

Cha muhimu ni kumjua mwanaume uliyenae ni wa aina gani, na umtreat hivyo hivyo. The same applies kwa wanawake.
 
Nyie kina ndugu hebu msinichekeshe.............tangu lini viumbe hawa wakaonywa, semwa au lalamikiwa kwa staili hii na kuwasikiliza?
Bibi zetu walitufunza..mwanaume husikiliza upesi sana sauti za vilio vya mahaba na kubembeleza. Wanaume hupenda kuonyeshwa kuwa wao ndio wao bila wao hakuna kitu, wanaume hupenda kudhihirishiwa kuwa wameoa na si mmeoana............

Tumieni nafasi zenu, art zenu na sauti zenu kufikiza malalamiko yenu, kero zenu na si kuombea tu mshiko na magari au nguo mpya!!

Msiwachoshe bana ..ofisini we need to talk, kwa marafiki ...lets talk na nyumbani pia we need to talk jamani??
sred klosed. mia!
 
Sijui kwa nn wanafanya hivi halafu usishangae kosa kafanya yeye atajitetea na kuligeuza uonekane wewe msichana ndo mkosaji

Umenisemea ambayo sikuyasema kupotezea fulani kha kumbeeeee.......................JF sante sana

Hapo ndipo nilipolenga yaani atakavyoipotezea utashangaa

MJ1 kwa hiyo wewe hata mumeo akikosea huongei naye kisa???? Acha mambo zako bana kha??!!! Kwanini nisimwambie yeye ni malaika hakosei?? "We need to talk"

Mamito nisome vizuri.........kuna sehemu nimesema siongei ?
 
Nyie kina ndugu hebu msinichekeshe.............tangu lini viumbe hawa wakaonywa, semwa au lalamikiwa kwa staili hii na kuwasikiliza?
Bibi zetu walitufunza..mwanaume husikiliza upesi sana sauti za vilio vya mahaba na kubembeleza. Wanaume hupenda kuonyeshwa kuwa wao ndio wao bila wao hakuna kitu, wanaume hupenda kudhihirishiwa kuwa wameoa na si mmeoana............

Tumieni nafasi zenu, art zenu na sauti zenu kufikiza malalamiko yenu, kero zenu na si kuombea tu mshiko na magari au nguo mpya!!

Msiwachoshe bana ..ofisini we need to talk, kwa marafiki ...lets talk na nyumbani pia we need to talk jamani??

Hahahaha mjukuu mtiifu nimeishiwa maneno
 
I dread to hear those words because they portend something bad. A whining session almost always follows them.
 
We need to talk... kabla ya kufikia hiyo talk lazima mwanaume aji-screen kwanza kuona any weak portion aliyo-commit, na how to defend it... Baba ukiingia kichwa kichwa utagalagazwa ooohoo!

Elia umenisaidia sana nimepata kitu kikubwa sana hapa
 
Back
Top Bottom