Kwanini Wanaume Hawapendi................................

Embu punguza hasira bana....''WE NEED TO TALK'' haimvutii mtu kuyatamani maongezi!!!
( Embu bembeleza huyo mbaba bwana.....mkumbatie alafu mweleze makosa yake kama atakana hata moja...au kama ni likizo ya kwenda nyumbani atakupa na muda wa nyongeza!!!! )

Huyu dena we utamweza ana mambo huyu, akielewa analeta za april moja hapa mtu unabaki unashangaashangaa mpaka uje ustuke saa nne tayari.
 
Huyu dena we utamweza ana mambo huyu, akielewa analeta za april moja hapa mtu unabaki unashangaashangaa mpaka uje ustuke saa nne tayari.


HA ha ha ha umeanza lini kusoma katikati ya misitari.......................
 
ni kweli kabisa wanaume hawapendi kuambiwa pale wanapokosea,mimi hiyo imenitokea hivi karibuni,alinikosea nikamweleza akabadilisha kosa lake kuwa langu,nilivyomwambia we need to talk akakwepa na visingizio kibao
 
kwani mmeo anavyo kuita mama umesha kuwa mama mzazi?

sipendi sipendi sipendi sipendi yaani sipendi kupita maelezo eti,
mpenzi/ mume wangu kuniita mimi mama,,,
jamani nachukia kupita kiasi,
kwanini mpenzi/mume wangu aniite mimi mama yake,,
why ,why kwa nini kwanini,,
yaani nachukia mno mno ,sana sana,
kwanini mimi mpenzi wako uniite mama yako???,
na mama yako utamwita nani??
Nachukia hii kitu kupita kiasi,
au naumwa jamani??? Nisaidieni please!!,
watoto wangu/wetu waniite mama, na wewe mpenzi/mume wangu
eti na wewe uniite mama da!! Huwa naumia sana sana.
Katika vitu ambavyo sivipendi ktk mapenzi hiki cha kwanza.

Na huwa sijifichi huwa naweka wazi kabisa,
sipendi mume/mpenzi wangu eti uniite mimi mama yako.
Tena nilitaka kukianzia thread ijumaa ya wiki hii,
 
Watoto wakiniita MAMA nasikia raha ,fahari sana, natamani waite hata 24/7 ,
lakin mume/mpenzi nooo USINIITE MAMA KABISA,
USIDHURUMU HAKI YA WATOTO ,WAO PEKE YAO NDIYO WANA HAKI YA KUNIITA MIMI MAMA TU.
 
Huyu dena we utamweza ana mambo huyu, akielewa analeta za april moja hapa mtu unabaki unashangaashangaa mpaka uje ustuke saa nne tayari.
Itabidi aelewe na kukubali kwa lazima!Kisa cha kumpa mwenzake presha na "we need to talk" ?
 
Nimepata kuona, kusikia na kutendewa hiki kitu.

Nauliza hivi kwanini Wanaume hawapendi kuambiwa:

"Leo inabidi tuzungumze kuhusu jambo fulani" "Today We need to Talk"msisitizo.

Nimeona ukishamwambia hivyo kama mapenzi yanapungua au sijui ni kujiamini kunapungua sana, halafu atajizungusha mpaka usahau tena wakati mwingine unakuta kuna kosa hivi au kakwambia kitu ukaona ni vyema kuzungumza kwa kina lakini atayeyusha na kuipotezea kwa mbali.

Wenzangu mmewahi kuona au kukutana na kitu hii au ni mimi peke yangu???

Naombeni ushauri wenu.....

DA

Inategemea unavyomfikishia hilo wazo au suala. Kama mwenzangu unamkazia sauti na kumshupalia misuli kama ati waweza kumdunda unadhani mwanaume gani atakuvumilia. Mwanaume ukimwendea vizuri hakuna anachoweza kukataa, hii nina uhakika nalo, ukimjulia anakubali kila kitu kama mtoto wa nursery school. Wewe kuna mtu anaambiwa na mkewe madogo tu anakuja juu mbaya, lakini akifika kwa anayeujua mtima wake vizuri unashangaa anakubali kila kitu kama kondoo wa manyoya.
 
Watoto wakiniita MAMA nasikia raha ,fahari sana, natamani waite hata 24/7 ,
lakin mume/mpenzi nooo USINIITE MAMA KABISA,
USIDHURUMU HAKI YA WATOTO ,WAO PEKE YAO NDIYO WANA HAKI YA KUNIITA MIMI MAMA TU.
Ulivyoweka msisitizo mamaa...kweli hupendi!Mi simaind na nakumbuka bibi yangu alikua anaitwa hivyo..mama nae..hata mimi nimewahi!INAKUA NI KWASABABU UMECHUKUA JUKUMU LA KUMWANGALIA!
 
ni kweli kabisa wanaume hawapendi kuambiwa pale wanapokosea,mimi hiyo imenitokea hivi karibuni,alinikosea nikamweleza akabadilisha kosa lake kuwa langu,nilivyomwambia we need to talk akakwepa na visingizio kibao

Ulilikoroga mwenyewe shosty. Kisa kumhoji mwenzio kama askari anahoji mhalifu? Niamini, ukiendekeza utaachwa sasa hivi, utakuja kutuambia
 
Back
Top Bottom