matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,653
- 15,481
Moja kwa moja....
Nilimsikia mama mmoja anasema katika ulimwengu wa roho amechinja wachawi karibu mia, alipewa upanga na malaika. Sasa watu mia kuchinjwa rohoni ni upotevu mkubwa wa nguvu kazi.
Mwingine unamsikia anasema walikuwa wachawi, wanasababisha ajali, wanakinga damu. Wanajinadi kuwa wameua watu wengi. Hii ni kama Genocide ukijumlisha mauaji hayo ya ajali zetu kwa mwaka.
Mwingine alienda mbali eti hadi Hayati Mkapa alipopata ajali akiwa kwake Ikulu yeye na team ya wachawi walikuwa wanapambana naye. Hii sio ajabu maana Ikulu hadi Brazili na Malawi tulishasikia hayo ya watu kupigwa kishirikina hadi kukimbia Ikulu.
Hapo achilia mbali majambazi, wauwaji na watenda maovu ya kutisha wanapotoa shuhuda zao live tena kwa kushangiliwa na hatuoni wanapelekwa Jela kutumikia kifu go cha uharifu huo wakati hawajamjua Bwana Yesu.
Najiuliza kama mtumishi
Huwa tunapangwa tu na Serikali huwa inajua na kuamua kupotezea?
Hakuna ushahidi wa kisheria kuwachukulia hatua kwenye mambo ya kiimani?
Au Serikali inatambua makanisa ni chombo saidizi cha kubadili mienendo ya jamii hivyo wanasaidiwa kazi na wachungaji
Wakuu kitaalam hii imekaaje. Au wewe ulishawahi kusikia shuhuda gani za kutisha hadi ukageuka kuona kama kuna Polisi anasikia?
Nilimsikia mama mmoja anasema katika ulimwengu wa roho amechinja wachawi karibu mia, alipewa upanga na malaika. Sasa watu mia kuchinjwa rohoni ni upotevu mkubwa wa nguvu kazi.
Mwingine unamsikia anasema walikuwa wachawi, wanasababisha ajali, wanakinga damu. Wanajinadi kuwa wameua watu wengi. Hii ni kama Genocide ukijumlisha mauaji hayo ya ajali zetu kwa mwaka.
Mwingine alienda mbali eti hadi Hayati Mkapa alipopata ajali akiwa kwake Ikulu yeye na team ya wachawi walikuwa wanapambana naye. Hii sio ajabu maana Ikulu hadi Brazili na Malawi tulishasikia hayo ya watu kupigwa kishirikina hadi kukimbia Ikulu.
Hapo achilia mbali majambazi, wauwaji na watenda maovu ya kutisha wanapotoa shuhuda zao live tena kwa kushangiliwa na hatuoni wanapelekwa Jela kutumikia kifu go cha uharifu huo wakati hawajamjua Bwana Yesu.
Najiuliza kama mtumishi
Huwa tunapangwa tu na Serikali huwa inajua na kuamua kupotezea?
Hakuna ushahidi wa kisheria kuwachukulia hatua kwenye mambo ya kiimani?
Au Serikali inatambua makanisa ni chombo saidizi cha kubadili mienendo ya jamii hivyo wanasaidiwa kazi na wachungaji
Wakuu kitaalam hii imekaaje. Au wewe ulishawahi kusikia shuhuda gani za kutisha hadi ukageuka kuona kama kuna Polisi anasikia?