MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,984
- 2,587
Udini huo😂😂😂Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Udini huo😂😂😂Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Udini huoNipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Wajitambulisha kwamba wao ni waislam au wana majina wanayojinasibisha na uislam?Muislam hatambuliki kwa jina......usichanganye!Kuna akina Said wengi tu wapo ktk ukristo na elewa muislam hawezi kwenda kwa Mwamposa.Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Unajua ukweli sema umemua kuwa mbishi bwana ChokoSasa huwaoni kwani??!!au unauliza jibu???!!
Poa.ndio maanaa nakushangaa jibu ulilotoa!!!
Labda wakristo hawamwamini Yesu ndo maana waislam wengi ndo wanatendewa miujiza na kutoa ushuhuda.Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Hakuna kitabu cha dini yoyote chenye kutaja mwafrika kuwa nabii, si Yesu wala Muhammad kuteuwa mwafrika kuwa nabii.Unamwamin mtu anajiita nabii mwamposa we uliona wapi nabii akawa mnyakyusa subirin muda wa sadaka tu ufike hilo ndo lengo la yeye kupiga piga kelele
Sasa mnyakyusa unabii kautoa wapiHakuna kitabu cha dini yoyote chenye kutaja mwafrika kuwa nabii, si Yesu wala Muhammad kuteuwa mwafrika kuwa nabii.
Kajipachika tuu, waafrika hatuna Cha kwetu.Sasa mnyakyusa unabii kautoa wapi
Kabila lake linahusiana vipi na ukweli wa Unabii wake au unabii wa uongo? Hujatutendea haki Wanyakyusa.Unamwamin mtu anajiita nabii mwamposa we uliona wapi nabii akawa mnyakyusa subirin muda wa sadaka tu ufike hilo ndo lengo la yeye kupiga piga kelele
Mungu anakuona na ndo atatupa Majibu ya ukweli Nani Nabii wa ukweli Mana Saivi Kila mmoja utamsikia anajiita nabiiUnamwamin mtu anajiita nabii mwamposa we uliona wapi nabii akawa mnyakyusa subirin muda wa sadaka tu ufike hilo ndo lengo la yeye kupiga piga kelele
Yani bro hata kama wewe ni mnyakyusa najua unacheka hapo kusikia Kuna nabii mnyakyusaKabila lake linahusiana vipi na ukweli wa Unabii wake au unabii wa uongo? Hujatutendea haki Wanyakyusa.
Wanyakyusa tunaongoza kwa idadi ya makanisa (kwa kulinganisha na idadi ya watu), tunaongoza kwa madhehebu mengi ya kikristo, tunaongoza kwa huduma hai makanisani (vilio, kwaya, vikundi....) nashangaaje kuwa na nabii Mnyakyusa☺☺Yani bro hata kama wewe ni mnyakyusa najua unacheka hapo kusikia Kuna nabii mnyakyusa
Usihemewe na usanii wa Mchungaji huyo.Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
AlhamduliLlahi.