Picha muhimuNipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Unajuaje kama ni Waislamu ?Nipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Hata Yesu aliwaombea woteUnajuaje kama ni Waislamu ?
Unajua kama Waislamu wengi wanatoka katika Uislamu bila kujijua ? Mpaka mtu anaenda huko ujue huyo si Muislamu tena sababu anakuwa amekiuka mafunzo ya Uislamu na kuona aliyo kuja nayo Mtume hayatoshelezi. Sasa kwa ushahidi gani utuambie hao ni Waislamu ?
Staged bro.GutukaNipo naangalia mahubiri kanisa la rise and shine naona wanawake wengi wa kiislam wengi ndio wanatoa ushuhuda wa kupitia magumu kwenye maisha
Kweli yesu ni jibu
USSR
Kwa hiyo mwamposa yesu like amaWewe utakuwa ni mgeni mkuu.Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa.ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia.Ukitaka kuliamini hilo,angalia ule mfano wa kwenye biblia.Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi???Kama sijakosea.Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.Tofauti sana na sisi wakristu
Jibu la ukweli kwa mtoa mada ni hiliKama una uelewa wa Marketing and Sales huwezi shtuka. Ushuhuda wa mkristo hauna mvuto si ajabu wakapangiwa siku nyingine ila sio siku yenye hadhara kubwa. Ushuhuda wa mwislamu ndio unauza mahubiri.
Mbona sasa havihusiani kabisa??.Unamfananisha Yesu na Mwamposa kweli??. Aiseee watu mnadharau sana.Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa.ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia.Ukitaka kuliamini hilo,angalia ule mfano wa kwenye biblia.Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa Yesu kushukuru.Mpaka Yesu akamuuliza wale wenzio wako wapi???Kama sijakosea.Sasa wenzetu waislam wana ujasiri sana aisee.Tofauti sana na sisi wakristu