data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,945
- 23,891
- Thread starter
- #41
hiyo ni aibu tu,hauamini mwili wake,au ana boobs kubwa,hapendi wewe uone,au anahisi ukimchungulia kwa nanihii,maybe utahisi kumekaa vibaya.mpe elimu,mwambie unampenda the way she is.kabla ya mechi,anza kwa kumvua kitu kimoja tu,ongea naeeeeee,baadae vua kingine,mpe sifa nyingi tu,itasaidia{ziwe sifa za ukweli na sio za kitapeli}w.ke wengine huwaza mbali,kwa kuwa huyu sio mume wangu,bora apate kwa kuibia ibia.angekuwa mke wako,pengine isingekuwa hivyo
Kwahiyo nioe kabisa ..kisukari