Kwanini wanandoa/wapenzi wanapenda mapenzi gizani

Kwanini wanandoa/wapenzi wanapenda mapenzi gizani

Kula ni kula tu, iwe kwa mkono au kwa kijiko.
Kwani ukila hushibi mpaka 'ukidokoe kwanza?'
Chako hicho, kula kwa raha zako japo wakilia gizani.
 
Hivyo hivyo gizani muondoe uoga kwanza kwa kwenda chumvini mra nyingi uwezavyo then ndani ya mwezi mmoja utaiona live sambusa unayuokuwa unailia gizani
 
semenya.. ndo nin?

semenya ni mwanamichezo aliyesemekana ana sehemu jinsia zote mbili.
soma maelezo hapo chini.

BY OREN YANIV
DAILY NEWS STAFF WRITER
Thursday, September 10, 2009

Tests show that controversial runner Caster Semenya is a woman ...and a man!

The 18-year-old South African champ has no womb or ovaries and her testosterone levels are more than three times higher than those of a normal female, according to reports.

The tests, ordered by The International Association of Athletics Federations after Semenya's 800-meter victory in the World Championships, determined she's a hermaphrodite - having both male and female organs.

Semenya could be stripped of the gold medal she won in Berlin last month and her competitive future is in limbo, according to Australia's Daily Telegraph.
 
Kumbuka kwamba ni mchumba wangu na tumepanga anza maisha very soon.. Vp ntapoaa afu anionyesha utupu wake nikute si kwa kawaida.. nimuache?.. lazima nivione vyoote kabla ya ndoa...

Maisha ya ndoa hayaendi hivyo. kuona kila kitu sio kigezo chao ndoa nzuri. Upendo ndio muhimu. Ukimpenda mtu unatakiwa kumpenda vile alivyo. nahisi samahani kwa hisia zangu "huyo binti bado hajampenda ila unamtamani tu".
kama unashiriki nae kimwili na una furahi nafsi. akavua nguo akaona ana tatoo/ kovu au maumbile makubwa utamwacha? kama jibu ni ndio basi humpendi na achana nae.
kingine kwenye giza waweza kumpapasa na kama anatatizo lolote ambalo liko ukiacha tatoo utaliona tu.

kuhusu tatoo, jichole tatoo fake inayotoka halafu siku moja muoneshe na ukijifanya sio kiyu kibaya wala tatizo kama anayo atakuonesha.

usiwe na haraka ila hata kama atakuwa na tatoo ya jina la mtu usimwache mfanye mpango wa kuibadili iwe urembo wa aina nyingine.
 
Vipi ulishawahi kuoga nae(namaanisha kuoga kwa pamoja wote wawili) au labda kuenda nae beach? Huko hali inakuwaje?
u.
nilikuwa natafuta jibu.....kipipi umeshamjibu. haina haja ya kumfikiria sana mara jini, confidence....anza na kuoga, beach na sehemu ambazo no sex but mtu unabaki na chupi tu.
zingatia kijana
 
Maisha ya ndoa hayaendi hivyo. kuona kila kitu sio kigezo chao ndoa nzuri. Upendo ndio muhimu. Ukimpenda mtu unatakiwa kumpenda vile alivyo. nahisi samahani kwa hisia zangu "huyo binti bado hajampenda ila unamtamani tu".
kama unashiriki nae kimwili na una furahi nafsi. akavua nguo akaona ana tatoo/ kovu au maumbile makubwa utamwacha? kama jibu ni ndio basi humpendi na achana nae.
kingine kwenye giza waweza kumpapasa na kama anatatizo lolote ambalo liko ukiacha tatoo utaliona tu.

kuhusu tatoo, jichole tatoo fake inayotoka halafu siku moja muoneshe na ukijifanya sio kiyu kibaya wala tatizo kama anayo atakuonesha.

usiwe na haraka ila hata kama atakuwa na tatoo ya jina la mtu usimwache mfanye mpango wa kuibadili iwe urembo wa aina nyingine.

Aisee.. asante lakin...
 
u.
nilikuwa natafuta jibu.....kipipi umeshamjibu. haina haja ya kumfikiria sana mara jini, confidence....anza na kuoga, beach na sehemu ambazo no sex but mtu unabaki na chupi tu.
zingatia kijana

Hilo la beach tafadhali siwezi... siwezi enda na mtarajiwa wangu beach abaki na chupi... haiwezekani.. yaani watu wote wamuonee.. mmmmhh mmhh.. hiyo.. NO THANK YOU...
 
huna msaada kwangu.. klorokwin... styupidii
si we' umetoka kwa Babu juzi ni mambo gani unaleta hapa, au ndo Kikombe hakijaanza kufanya kazi,.................. ama kweli dunia gunia!!!!!!!!
 
Uchunguzi unaonyesha wanawake wengi wanapendelea kufanya ngono gizani kuliko wanaume. Hilo pia nimelithibitisha mwenyewe kua wasichana wengi niliokutana nao wanapendelea kufanya ngono gizani kuliko taa ikiwa imewaka lakini pia washkaji wangu wengi nimewauliza wananiambia hivyo hovyo,,,,,mi naomba wanawake wanipe majibu pi na wanaume wanaojua hili,kwa nini wanawake wanapenda kufanya ngono gizani.....???????
 
HAAHAHA ukiona mtu wa hivyo hujui akipigishag mswakwi kigegeduliwa chake.....anaona aibu
 
Ili kuepukana na maswali yasiyo na majibu ungemuuliza huyo mwanamke wako ili akupe jibu.
 
Kuna mengi,mabinti weng wanapoteza confidence kwa 7bb mblmbl,1:either matiti yamelala na anayaonea aibu au 2:ana 2mbo kubwa plus nyama uzembe,fatilia
 
Uchunguzi unaonyesha wanawake wengi wanapendelea kufanya ngono gizani kuliko wanaume. Hilo pia nimelithibitisha mwenyewe kua wasichana wengi niliokutana nao wanapendelea kufanya ngono gizani kuliko taa ikiwa imewaka lakini pia washkaji wangu wengi nimewauliza wananiambia hivyo hovyo,,,,,mi naomba wanawake wanipe majibu pi na wanaume wanaojua hili,kwa nini wanawake wanapenda kufanya ngono gizani.....???????

yani km mimi sipendi kuonekana kma nilivyozaliwa yani hivyo napenda giza zaidi.
 
Back
Top Bottom