BabyGal
Senior Member
- Jun 30, 2011
- 165
- 62
Hata mimi naona!!!!ulianza vizuri kweli..baby girl.. sasa wapoteza muelekeo
Hata mimi naona!!!!ulianza vizuri kweli..baby girl.. sasa wapoteza muelekeo
Unataka raha au unataka kuona ? watu wengine bwana.... Subiri akipata mimba siku ya kujifungua uende nae Labour ward watakuonyesha vizuri..!
wana JF.. najua humu ndani kuna wataalamu wengi wa mahusiano..shida yangu ni hii..Mpenzi wangu hayupo comfortable kufanya mapenzi mchana au wakati taa inawaka.. kifupi tumbo lake sijawahi liona laiv na ikulu ndo sijawahi tia jicho.... anatatizo gani... niemuomba mara nyingi tuwashe taa hataki.. na nikifosi washa taa anavaa track za kulalia .... ndo hamna mechi hapo... anatatizo gani?? wapo wengine wako hivyoooo? mawazo yenu ni very helpfull kwangu. Ni binti...mie ni (Me) naomba niwe specific.
mwambie uone atasema nini. Pia jaribu kumnunulia nguo halaf mgee avae mbele yako(chumbani ama sehemu ya faragha). Akigoma na hapo basi ujue kuna kitu anaficha na si swala la ufanyaji mapenzi pekee, angekuwa anaona aibu basi hata mapenzi asingefanya. Kuna watu wanaprefer kufanya mapenzi gizani kwa madai kwamba wanakuwa huru zaidi kuliko wakiwa kwenye mwanga, vilevile kuna ambao hupendelea zaidi mwanga hafifu kwa ajili ya kuvuta hisia zaidi. Pamoja na hayo nijuavyo mie hata kwenye mwanga sometimes huwa wanafanya na mfano mzuri ni mchana au asubuhi inategemea na wahusika. All in all ye ndo mwenye majibu so nakushauri uongee nae na umuulize then utapima mwenyewe.sijawaza kuomba nioge nae.. sidhani kama atakubali
swala si kuwa wapo wengine wa hivyo au la, issue ni kwamba unaridhika na hiyo situation? Ok tusubiri wachangiaji wengine watasemaje.jig saw... nataka nifahamu kwanin yupo hiviii.... thats my problem... ndo maana nikahoji wapo wengine wako hivyoo...
wana JF.. najua humu ndani kuna wataalamu wengi wa mahusiano..shida yangu ni hii..Mpenzi wangu hayupo comfortable kufanya mapenzi mchana au wakati taa inawaka.. kifupi tumbo lake sijawahi liona laiv na ikulu ndo sijawahi tia jicho.... anatatizo gani... niemuomba mara nyingi tuwashe taa hataki.. na nikifosi washa taa anavaa track za kulalia .... ndo hamna mechi hapo... anatatizo gani?? wapo wengine wako hivyoooo? mawazo yenu ni very helpfull kwangu. Ni binti...mie ni (Me) naomba niwe specific.
ya kusave umeme inasoundKlorokwini psychological analysis.possibilitiesAna woga wa kizembe: So pengine wewe una sura mbovu na ukiwa katika ile shuhuli unang'aruza mimacho na mimeno unatoa nje, hii inamtisha na kumkata stimu, ameonelea bora gizani ili asikuone.Mambo ya kiswahili (ushirikina): pengine amefundwa hivyo kwa taratiib maalum za kifamiliaMchumi: ameamua kusave bill ya umeme ili mnunue kabajaji.Anafeki: Haumfikishi kileleni so anafake na anahisi utamshtukia akifake mchana kweupe (low self confidence)Aibu: amekuwa na kufunzwa kuwa ngono ni aibu.Extra sex abnormal activities (ambayo pia ni sub heading ya aibu) : ana mambo ya ajabu anafanya wakati wa kungonoka na hataki wewe uyaone na hayakubaliki kijamii na kimaadili.Post litakuwa refu acha niishie hapa.
jig saw... nataka nifahamu kwanin yupo hiviii.... thats my problem... ndo maana nikahoji wapo wengine wako hivyoo...
mwambie uone atasema nini. Pia jaribu kumnunulia nguo halaf mgee avae mbele yako(chumbani ama sehemu ya faragha). Akigoma na hapo basi ujue kuna kitu anaficha na si swala la ufanyaji mapenzi pekee, angekuwa anaona aibu basi hata mapenzi asingefanya. Kuna watu wanaprefer kufanya mapenzi gizani kwa madai kwamba wanakuwa huru zaidi kuliko wakiwa kwenye mwanga, vilevile kuna ambao hupendelea zaidi mwanga hafifu kwa ajili ya kuvuta hisia zaidi. Pamoja na hayo nijuavyo mie hata kwenye mwanga sometimes huwa wanafanya na mfano mzuri ni mchana au asubuhi inategemea na wahusika. All in all ye ndo mwenye majibu so nakushauri uongee nae na umuulize then utapima mwenyewe.
Hizo ni sehemu zake za siri ..! Na huenda hakuamini wewe Macho juu juu mwenye kuchezea mabinti za watu kabla ya ndoa. Anakupa mapenzi gizani kwani hata wewe upo kigiza giza tu.. Funga nae ndoa ...100% atakuonyesha hata ambako hukupenda kuona..!! OA Data acha mapenzi kabla ya ndoa na utaona vingi kama sisi..!!
Kumbe huna uhakika na unachokisema!!Haya wenye shida kakusikia natumaini kasaidika
Pengine nawe pia wajitutika shemeji yangu.........jiweke huru naye atauwa huru huku ukimtupia visifa vya hapa na pale...ila nenda naye taratibu huenda kalelewa huyo akaleleka ati!!
Hahahha..,eti malezi bora!!Kama angekua anaendeleza malezi bora hata kupapasana gizani asingeruhusu!!Anaweza kweli akawa na malezi bora.. asante mwanajamiione