Kwanini wanandoa/wapenzi wanapenda mapenzi gizani

Kwanini wanandoa/wapenzi wanapenda mapenzi gizani

DATA wanawake wanaaibu sn kuli wanaume nisikuizitu mambo yanabadrika kwa kasi inaonesha bint nimdogo ni unr 20 kwani maranyingi wanakuwa wageni ktk kidalipoo wenyewe wanadhan unaweza ramba asari nnje yachupa uwa hawapotayari japo wana fahamu kuwa matiti kitovu tumbo kiuno nk. muonekano wake unaongeza hamasa ya kumfanya aridhishwe fanya jitihada avue ilo gunia la aibu maana akiteleza cku nakumpata mtu akamchakachua kweupe atakuhisi hujui kitu namabadiriko yaanze wewe JISHUSHE maranyingi wanaume uwa tuna wazid umri nabaadhi ujiona km nitattzo kwao nakujikuhisi hamfanan chamsingi ongeza michezo yakawaida kukimbia kimbia kurushiana v2 nakadharika inayo lazimu kuonana usisite kumwambia unafurahi unapo muangalia ukumkiusogeza mbele muda wakuzima taa muda ukifika unazima lakin mnajenga tabia mpya yakucheza kupitiliza naukiona kazoea kucheza anza michezo yauchokozi wakati taainawaka ikiwezekana pembezon mwakitanda akichokozeka usilembe akistuka zima taa endelea namichezo yakawaida ngumu ila kwakua unataka kujenga
 
Sijui niombe picha!...labda niulize hilo tatizo amedumu nalo muda gani!
 
Mkuu hiyo ipo sana tu hasa kwa watoto wa kichaga,kuna wanawake wengine ukipanga mkutane naye mchana anakuja usiku na lzm akifika chumban uzime taa la sivyo anavaa nguo anaondoka
 
Klorokwini psychological analysis.

possibilities

Ana woga wa kizembe: So pengine wewe una sura mbovu na ukiwa katika ile shuhuli unang'aruza mimacho na mimeno unatoa nje, hii inamtisha na kumkata stimu, ameonelea bora gizani ili asikuone.

Mambo ya kiswahili (ushirikina): pengine amefundwa hivyo kwa taratiib maalum za kifamilia

Mchumi: ameamua kusave bill ya umeme ili mnunue kabajaji.

Anafeki: Haumfikishi kileleni so anafake na anahisi utamshtukia akifake mchana kweupe (low self confidence)

Aibu: amekuwa na kufunzwa kuwa ngono ni aibu.

Extra sex abnormal activities (ambayo pia ni sub heading ya aibu) : ana mambo ya ajabu anafanya wakati wa kungonoka na hataki wewe uyaone na hayakubaliki kijamii na kimaadili.

Post litakuwa refu acha niishie hapa.

Hizi zina mantiki sana mkuu, nakuomba uzifanyie kazi!
 
kwani unataka kuona nini hasa mkuu DATA?,nahofu tunajibu tusichokifahamu!
 
Aibu iliyochangiwa na kutojiamini... mpe muda atajiachia tu
 
baby girl.. nimejaribu mara kibao kaa na kitandan huku taa inawaka... napiga nae story nzuuri za mahaba.. nikianaza peleka mkono.. anasema ..zima taa..


Siku moja ficha tochi jirani, katikati ya majambozi, chukua tochi mulika uone hicho asichotaka ukione.
 
dah..hii 'old school' nani kaifukua...
 
dah..hii 'old school' nani kaifukua...

Threads zimeunganishwa na mods, kuna chalii naye aliuliza hii mambo ya wadada kujificha wakati wa majambozi.

Vipi bi mkubwa anaendelea kujificha ndululu yake au mshatemana?
 
Threads zimeunganishwa na mods, kuna chalii naye aliuliza hii mambo ya wadada kujificha wakati wa majambozi.

Vipi bi mkubwa anaendelea kujificha ndululu yake au mshatemana?

ilikua ni aibu...alipoenda chuo akabadilika.,,atakua alikutana na wajanja..
 
Uzi ni wa kitambo, kama tatitzo bado lipo Siku moja andaa Nyoka wa bandia, akivua nguo, zifiche mbali kidogo, wakati wa majambozi mgusishe huyo nyoka katika mwili wake, akiwa mwambie akawashe taa yeye mwenyewe huku na wewe ukisisitiza ni kweli kuna Nyoka. Hapo atachagua, kutafuta nguo gizani au awashe taa.
 
Jaman Wana MMU hukunajua kuna hadi watoto maliobalehe leo ila wanajua mgegedo.kwahio watanijibu
swali ni kwanini baadhi ya wanandoa au wapenzi wanapenda kugegedana gizani kama ni usiku basi taa zinazimwa na wakati mpo wenyewe mapazia milango mmefunga hakuna anae waona inamana nikutokujiamini,aibu ,au hamjazoeana
nazungumzia usiku maranying ndo muda wa wagegedanao kugegedana baada ya pilika za mchana kutwa.
huku kwa wanatafsida wakubwa wenzangu tutakutana kwenye uwanja wa burudani wa kuchambua mchele na chuya
 
Hilo ni chaguo la mtu binafsi wengine wanaona dim light is more romantic!
 
Back
Top Bottom