Marekani ni KAMPUNI.Naomba wajuvi wa mambo wanasaidie nifahamu ni kwanini wanajeshi wa marekani wanastaafu mapema ukilinganisha na huku kwetu?
Uzi ufungweUkifikisha 45 inabidi ukapumzike, teknolojia ya USA inataka damu changa sio lizee
Huku bongo bado JW linavunja matofali Kwa kichwa hvy bado wapo wapo hawana haraka na teknolojia
Ukifikisha 45 inabidi ukapumzike, teknolojia ya USA inataka damu changa sio lizee
Huku bongo bado JW linavunja matofali Kwa kichwa hvy bado wapo wapo hawana haraka na teknolojia
Hapana bwashee, kuna walionizidi akili Ngoja waje watoe mawili matatu 😂Uzi ufungwe
Ila wenzetu umri mdogo mwili mkubwa,Sio kweli mkuu, mwaka huu wame extend umri wa kuingia jeshini mpaka 42yrs.
Imeisha bwasheeHapana bwashee, kuna walionizidi akili Ngoja waje watoe mawili matatu 😂
Hawa Wetu Wamefubaa SanaUkifikisha 45 inabidi ukapumzike, teknolojia ya USA inataka damu changa sio lizee
Huku bongo bado JW linavunja matofali Kwa kichwa hvy bado wapo wapo hawana haraka na teknolojia
Luteni?Huyo ni koplo sugu halafu mpishi.Miaka 25 ya umri mtu ni kapteni na kashatoa roho za watu kibao,anarudi zake Pentagon anakuwa kanali,huku bongo mtu ana miaka 30 bado ni ruteni usu na hata ugomvi wa mtaa hajawahi kushiriki!!!
Kama wamefubaa na bado wana misuli ya kuwapelekea moto watoto watukutu, pata picha wangekuwa hawajafubaa.Hawa Wetu Wamefubaa Sana
Kinachofanya wastaafu ni rank na umri kutoendana pamoja na ujuzi.. sie nashangaa jeshini wanatutenga watu wenye 40 wakati tuna vitu vya kupeleka kuleSio kweli mkuu, mwaka huu wame extend umri wa kuingia jeshini mpaka 42yrs.
Umetisha sana maana huku Malawi wananenepa wanaota mpaka vitambiLeo libya,kesho ukraine,kesho kutwa iran wiki ijayo venezuela mwezi ujao mpo mlango wa bahari wapi uko sijui mnatishiana makombola na urusi hizo mbanga zote kwanini usistaafu mapema???
Bongo kungekuwa na kashikashi kama hizo watu jeshi wangeliona kama ukoma