kuna kitu kinaitwa Synchronization mkuuu hii ni technology inayowaunanisha watu zaid ya mmoja kuwa katika mawasilaino kwa kutumia hivo vyombo unavoviona masikioni mwao hapo anakuwa anaoengea au anasikiliza mazungumzo ya team nzima ya ulinzi kuanzia mlanoni anakotoka mpaka anapofika mahala alipoandaliwa,
Hii inasaidia kurahisisha usafirishwaji salama wa mtu anayelindwa mfano anaweza kuwa yuko ndani kuna kikao kinaendelea ila nje kuavamiwa au kukatokea shida yoyote ile ile kupitia hizo erphone wanatoa taarifa kwa haraka kuhusu aina ya tukio, watu wanaoshiriki pamoja na silaha wanazotumia na kama wanaweza kukabiliana nao au wachukue hatua nyinine zozote. Kwahiyo pale anakuwa anasikiliza na kuongea kwa kutumia hiyo ear phone
acha uongo bhana wale ni wasikilizaji tu na kuongozwa, hawaongei, wala kujibu chochote wao ni kulinda mwili tu!! na kufanya maamuzi ya haraka, km kuna shida yeyote! wanajua kutest zari, km mtu akijirengesha kwa Rais!
walinzi wa kuongea na kujibu wako kwingine kabisa mita 60 mbele nyuma pembeni hukooo! huwaoni
wanaweza sema ''kamata alfa'' = manake kimbilia kushoto haraka, ''ikotika Balao''-- simamisha msafara haraka nyuma bado kweupe rudini! kikawaida tu!
Wanaweza sema '' Kinyonga faster oo1!!'' manake punguzeni speed ya Msafara lkn shwari tu! apo kuna mtu au mlevi anaingilia msafara wa Rais. lkn hana tatizo . akisema hilo neno then oo4! ni hatare zaidi!
Sasa hapo ndo utaona makomandoo wanaruka sarakasi zao ki ghafla tena faster, km alivo fanya Commandor marehemu Tamimu, kasi isiyo kuwa ya kawaida utadhani unaota vile!!
Rais anakunjwa km karatasi, anaweza rushwa hata gari la kiraia lolote linalo faa kwa wakati huo, pale alipo anawekwa mwingine tu wa karibu dakika sifuri. Rais!! amepotea mazingira hatarishi.
hata ikitokea akiwa ghorofa ya kumi juu wanashuka nae faster bila kutumia ngazi, na hachubuki!! km ilivotokea kwa Thatcher miaka flani huko, wale mlio pitia JKT A'' coy'' 823 jk, ya Mwinyi mnanielewa, namna ya kuvuka viunzi hatarishi
hapohapo unavuka viunzi mita 60 down mbaya, na bado mgongoni ukiwa na zigo la Pack, jembe, Bunduki machine gun full magazine , sururu, na zigo la mabomu ni rahisi mno! usicheze na comandor wewe mtoto! ni hatare lkn salama! wakiwa sita tu wanatosha sana!