Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,021
- 26,334
Hahahahahh nimecheka SanaSishangai walinzi wa viongozi,ninao washangaa ni wa Harmonize kwanza Boss wao kavaa saa mbili,afu wao na mavest makubwa na joto letu Bongo utafikiri wanaenda kutengua mabomu Afghanistan.
Sent using Jamii Forums mobile app