Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
Ndugu zangu.
Huwa naona walinzi wa viongozi wakubwa katika nchi mbalimbali huvaa ear phone na wakati huohuo huwezi ona wakiongea.
Wanawasilianaje maana huwezi ona wakiongea ?
Masikio hayaumagi kila mara masikio yamezibwa ?
Wajuvi tupeni uzoefu wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa naona walinzi wa viongozi wakubwa katika nchi mbalimbali huvaa ear phone na wakati huohuo huwezi ona wakiongea.
Wanawasilianaje maana huwezi ona wakiongea ?
Masikio hayaumagi kila mara masikio yamezibwa ?
Wajuvi tupeni uzoefu wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app