Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,748
- 28,140
Niache sio lazima wote tujue hesabu 😁😁
Wachukia hesabu utawajua tu.
Niache sio lazima wote tujue hesabu 😁😁
Wachukia hesabu utawajua tu.
Sasa usipojua hesabu itakuwajeNiache sio lazima wote tujue hesabu![]()



Hesabu ya pesa inatosha kujuaSasa usipojua hesabu itakuwaje![]()
Maisha ni mahesabu, hivyo mahesabu hayakwepeki bwanaHesabu ya pesa inatosha kujua
Wengine tulisoma ngoni migration jamani..

Hii ni sababu yenye mashiko.ukweli ni kuwa wakati huo ukiwa mdogo wao walikuwa wadogo pia ila kwa upeo wa wakati ule uliwaona wakubwa sana
huu uzi ni wa kitambo kweli 😁Hii ni sababu yenye mashiko.
Kuhakikisha hili itabidi ujue umri wake kipindi we unasoma na amezaliwa mwaka gani ili kupata kupata jumla ya umri, utofauti wa miaka utaleta mrejesho je ni kweli muonekano wake na umri alionao haviendani kweli.
Alafu tutalinganisha na mtu kutoka taaluma nyingine mwenye umri sawa na walimu tuone kuna tofauti?
Tutumie watu mashuhuli tunaowajua wote.
NB: Ila walimu miaka yanyuma walikua wanaishi kama wafalme.
•Wanaheshimika.
•Hawafanyi kazi ngumu kazi zote kuanzia kuchota maji hadi kupika wanapikiwa na wanafunzi wale best wenye nidhamu ya juu.
•Wanazawadiwa kuku mayai na maziwa na wanakijiji.
•Kazi yau inahusisha social interaction (michezo kwa wingi mara umiseta hujakaa sawa umitashumta... hujabadilisha mkao inter school competition ).
•Wakikubwa na migogoro stress na hasira wanazimalizia kwa wanafunzi.😂😂😂.
Sasa apo stress na depression inatokea wapi eti jamani!!!?😂😂
Kuna njemba Mona niliisijia inisema ukitaka kufa mapema kuwa m/ music,.Kwa Mtazamo wangu Wanamuziki ndiyo hawazeeki mapema kutokana na kuwa na furaha sana katika kazi yao ya muziki/burudani. Hawana stress
Juzi tu nimemwona mwanamuziki mkongwe mzee Zoro ametupia pensi kama sharo wa umri wa miaka 30 hivi.
atakuwa anamaanisha pombe kaliKumbe starehe zinazeesha mapema kuliko maisha magumu? Mbona kama hii kitu ina-contradict aisee?
ukinywa gongo lazima uzeeke mapemaMfumo wa maisha pia unachangia hawana hela za anasa na wanatumia muda mwingi kwenye kuandaa madesa na tuitions etc.
Anyway walimu wangu walevi wa gongo nishawazika sana tu pamoja na wale vicheche.
wamepishana miaka mingapi?ULICHOSEMA NI KWELI KABISA MKUU : Maana hata mimi namfahamu mwl aliyewafundisha mama zangu wadogo,mpaka leo ni kijana tu.Ajabu amekuja kuolewa na mwanafunzi wake.Ukimtazama jamaa(mumewe) yeye anazeeka lakini mwl bado anadunda.NADHANI KUJIEPUSHA NA TABIA ZA UHUNI NDIO SIRI.
Trueukweli ni kuwa wakati huo ukiwa mdogo wao walikuwa wadogo pia ila kwa upeo wa wakati ule uliwaona wakubwa sana

Ndo mana nikaleta hapa jukwaani kwa kifupi sio mtizamo wangu Peke yangu ni wengi tu wameliona hilo.Huwezi kukutana na walimu wachache kati ya walimu wote waliokufundisha ukaishia kufanya conclusion kuwa walimu wote hawazeeki?
Kwani walimu wana kitu gani special zaidi ya binadamu wengine kinachofanya wasizeeke?
Hadi nimekupenda mwalimu khaa...Hapo ulisahau vituko vya wanafunzi, ukiacha maujinga yao ila most of the times wanafurahisha sana. Yaani kikitoka kituko kimoja kinakuja kingine basi ni muda mwingi ni kufurahi tu. Lakini pia sisi hatujifungii kila mtu ofisini kwake na stress zake, tunakaa ofisi moja karibia walimu wote, basi hapo ni story za hapa na pale za kuelekezana jinsi ya kuunga dagaa wetu huku unasahihisha madaftari. Na kushifikishana vituko vya watoto basi ni kucheka tuu muda wote.
Lakini pia walimu wengi tunaishi maisha yetu halisi, hakuna kufake sijui ninunue wigi la milioni sijui. Nikisuka nywele za elfu 5 nimejiridhikiaa na kitenge changu mpauko![]()
Natafuta mwalimu wa kuoa na kujenga nae maisha, mwalimu. Unesema hamfake maisha, very veery important. Najua moja ya stori zenu ofisini ni pamoja na mahusianoHapo ulisahau vituko vya wanafunzi, ukiacha maujinga yao ila most of the times wanafurahisha sana. Yaani kikitoka kituko kimoja kinakuja kingine basi ni muda mwingi ni kufurahi tu. Lakini pia sisi hatujifungii kila mtu ofisini kwake na stress zake, tunakaa ofisi moja karibia walimu wote, basi hapo ni story za hapa na pale za kuelekezana jinsi ya kuunga dagaa wetu huku unasahihisha madaftari. Na kushirikishana vituko vya watoto basi ni kucheka tuu muda wote.
Lakini pia walimu wengi tunaishi maisha yetu halisi, hakuna kufake sijui ninunue wigi la milioni sijui. Nikisuka nywele za elfu 5 nimejiridhikiaa na kitenge changu mpauko![]()
Kila lenye heri mkuu, Mungu akusaidie sio tu upate mwalimu bali mke mwema.Natafuta mwalimu wa kuoa na kujenga nae maisha, mwalimu. Unesema hamfake maisha, very veery important. Najua moja ya stori zenu ofisini ni pamoja na mahusiano