ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Nikweli kabisa walimu hawazeeki mapema,,nimeanza shule nina mwaka 1994 nikamkuta mwalimu tumbo ni mkuu shule ya msingi nyanza na hadi leo ni mwalimu mkuu pale nyanza na bado anadundika tu.
Sio Mwl Tumbo tu. hata Mwl Mulenga nilimuona hazeeki. Mie mamvi kibao lakini Mwl Farida mulenga yuko mkakamavu. Mungu wape maisha yenye neema waalimu wetu wote.