Kwanini walimu hawazeeki mapema?

Kwanini walimu hawazeeki mapema?

True juzi kati nimekutana na mwalimu wangu wa primary huwez amin tukapeana mambo tukagonga nikamkumbusha shule akajibu aaah nimehama niko shule nyingine akaniuliza ulikua unafanya kazi wap maeneo yale hakumbuki kua alinifundisha nikiwa darasa la 3 yy anadhan nilikua mkubwa nafanya kazi maeneo hayo nilishangaa sana!

Though kwa muonekano nikisimama nae unaona kabisa kama ni watu wa rika moja ndo mana salam ya mambo ilikua justifiable kabisa in the end wala sikumkumbusha kua alinifundisha!!!!
 
kufanya mapenzi na watu walio kuzidi umri kuna kufanya uzeeke haraka. sasa wao wanakula mbegu walao mmoja kila baada ya miezi mitatu hii inakuwa rejuvanation
 
kama kweli vile japo si formula kuwa mwalimu ndi hazeeki....ila mh wapo kama vilevile...
 
labda walimu wa zenu za academia, walimu ktk shule nilizosoma wengi walishastaaf wamechokaaa nyang'anyang'a
 
Nikweli kabisa walimu hawazeeki mapema,,nimeanza shule nina mwaka 1994 nikamkuta mwalimu tumbo ni mkuu shule ya msingi nyanza na hadi leo ni mwalimu mkuu pale nyanza na bado anadundika tu.

Je Mwl. Aron unamkumbuka? Alikua Mwl. Mkuu Msaidizi Nyamagana miaka ya tisini akahamia Nyanza kua Mwl. Mkuu, Mara ya mwisho nilifanya nae kazi flani akiwa Mwl. Mkuu wa Gedeli jamaa bado yuko vilevile na mwili wake ule ule kwani ni bonge la mtu.

Kuna jembe lingine anaitwa Mwl. Paschal ye ndio alikua Mwl. Mkuu Nyamagana badae alihamia Milongo SM, kila nikikutana nae simtofautishi na nilivyomuona kipindi naanza Std 1na hiyo ilikua ni 1991.

Funga kazi ni Mwl wangu wa Hesabu Std 7 huyo ni Mwl. Mhando, kwa waliomaliza Nyamagana miaka ya tisini mpaka mwanzoni mwa 2000 wanajua namuongelea nani, huwezi amini jamaa bado yuko vilevile na nikikutana nae town nampa heshima yake kwanza halafu tunapiga stori kama mtu na mshkaji wake vile.

Mtoa mada yuko sahihi kabisa hili swala la Walimu kutozeeka haraka ni kweli kabisa.
 
Kweli hawazeeki.
Mwl mmoja jina Mr. Lyimo alimfundisha dada yangu shule ya msingi Kotela,
nilikutana naye mwaka juzi, yuko vile vile.
 
ULICHOSEMA NI KWELI KABISA MKUU : Maana hata mimi namfahamu mwl aliyewafundisha mama zangu wadogo,mpaka leo ni kijana tu.

Ajabu amekuja kuolewa na mwanafunzi wake.Ukimtazama jamaa(mumewe) yeye anazeeka lakini mwl bado anadunda. NADHANI KUJIEPUSHA NA TABIA ZA UHUNI NDIO SIRI.
 
Hii mada imenikumbusha mbali juzi nimekutana Mwl. Aliyemfubdisha bibi yangu bado yuko vilevile aisee maajabu kweli
 
Hahaha alafu watanzania bana nyie mlitaka walimu wakimaliza kuwafundisha tu wazeeke wafe, Ila hayo ndio maajabu ya mbuzi kujizalia dume.
 
Lile zoezi LA kusimama class kila siku na kutembea tembea ukiunganisha zile route in kilometers kadhaa ndio maana hawazeeki mapema. Mazoezi mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom