Kwanini Walimu hawazeeki kama wanafunzi wanaowafundisha?

Kwanini Walimu hawazeeki kama wanafunzi wanaowafundisha?

kwani kuzeeka ni nini?
Kuzeeka ni hatua ya mwisho ya mwili,kukua.baada ya mwili hutoa ishara umechoka kufanya kazi.ndipo utaona mvi kichwani,ngozi hujivuta,nk.akili inataka mwili autaki...jua kwisha habari.nazani UMEELEWA.ISLETS
 
Mkuu nimekulewa SNA.nikweli family ya mwl hua tulivu sn.SAMCEZAR UMENENA
 
kuna mwalimu aliniambia kuwa...kuangaliana/kutazamana na watoto wadogo kila siku sometimes kusmile pamoja nao, kucheza nao, inafanya sura za walimu kufanana na za wanafunzi wao ndo mana hawazeeki.
 
Kuzeeka ni hatua ya mwisho ya mwili,kukua.baada ya mwili hutoa ishara umechoka kufanya kazi.ndipo utaona mvi kichwani,ngozi hujivuta,nk.akili inataka mwili autaki...jua kwisha habari.nazani UMEELEWA.ISLETS
basi kama ni hivyo, basi hakuna utofauti kwa waalimu.
Sema hatu wengi hawazingatii kitu kimoja na ndio maana wanasema wanachelewa kuzeeka.
Walimu wengi wanaanza kazi wakiwa na umri mdogo sana,miaka 18-22. Sasa fikiria mwalimu wa primary mwenye miaka 20 huyo anakufundisha utaenda mpaka chuo kikuu, utamaliza utaoa, kuja kumuona hata baada ya miaka 15 hautakuta anamvi maana ndio kwanza anakuwa kafikisha 35
 
Kuna ukweli hapo asa walimu wa shule ya msingi.kuna rafiki yangu alinionesha mwalimu wake.akanambia yule mwalimu kafundisha watu wengi lakini hazeeki.yupo vile vile
 
Hakuna kitu kizuri kama u boss mwalimu ni boss hunyenyekewa na kuheshimiwa na wanafunzi na hufurahia sana hali hiyo.. no stress! That's the reason why they don't age
Kwanza kukubali tu kuwa mwalimu inaonesha kabisa ni mtu wakuridhika na alichonacho stress hapati na akizipata anazipeleka kwa wanafunzi
 
Jamani Mimi huwa najiuliza Nini kipo ndani ya ukuaji wa walimu? Nimefatilia walimu hawazeeki nikiwaona walimu wangu wa primary wapo vilevile pia hata wakistaafu hawafi mapema Kama wafanyakazi wengine hivi ni kwanini
 
Jamani Mimi huwa najiuliza Nini kipo ndani ya ukuaji wa walimu? Nimefatilia walimu hawazeeki nikiwaona walimu wangu wa primary wapo vilevile pia hata wakistaafu hawafi mapema Kama wafanyakazi wengine hivi ni kwanini
1.Kwasababu ya kuwa na amani na furaha muda wote wawapo na wanafunzi.
2.Upendo wa dhati kwa watoto( wanafunzi)
3.Kuushughulisha mwili na akili kwa kipindi kirefu
N:B HII HAIWAHUSU WALIMU WOOTE WENYE ROHO MBAYA
 
Jamani Mimi huwa najiuliza Nini kipo ndani ya ukuaji wa walimu? Nimefatilia walimu hawazeeki nikiwaona walimu wangu wa primary wapo vilevile pia hata wakistaafu hawafi mapema Kama wafanyakazi wengine hivi ni kwanini
Walimu muda wote wanakutana na watu wenye matumaini, ambao hawajakata tamaa.
Watoto wadogo/vijana ni sehemu ya maisha ya Mwalimu. Hawa humsahaulisha Mwalimu changamoto mbalimbali alizonazo maishani mwake.
Pamoja na kipato kidogo alichonacho, Mwalimu hufurahia maisha muda mwingi pengine kuliko wafanyakazi wengine kwani anakutana na damu changa yenye matumaini muda wote.
Kwa nini azeeke mapema?

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom