Kwanini Walimu hawazeeki kama wanafunzi wanaowafundisha?

Kwanini Walimu hawazeeki kama wanafunzi wanaowafundisha?

chumanile

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2018
Posts
298
Reaction score
335
Habari wakuu JamiiForums?

Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, tokea nimalize Shule ya Msingi yapata miaka 21 kwa sasa nimekua Kijana haswa.

> Pamoja na kua Kijana nashanga kuwaona Walimu wangu walio nifundisha Kindergarten, Primary, bado wamekua vijana mno.

> Sielewi kwa nini Walimu hawazeheki mapema kuliko Wanafunzi wanao wafundisha?

Kuna siri gani Walimu wanayoitumia mpaka kuwa na miili isiyo choka?
 
Habari wakuu jf?
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.toka kumali shule ya msingi yapata miaka 21.aaah amini kwa sasa nimekua kijana haswa.pamoja na kua kijana nashanga kuwaona WALIMU wangu walio nifundisha kindagate,primary,bado wamekua vijana mno.sielewi kwa nini WALIMU hawazeheki mapema kuliko wanafunzi wanao wafundisha?kuna siri gani WALIMU mnayo itumia mpaka kua na miili isiyo choka?EBU TUELEZA UFAHAMU JUU YA HILI...
Hawana stress
Wanazimalizia kwa wanafunzi kwenye viboko
 
Habari wakuu jf?
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza.toka kumali shule ya msingi yapata miaka 21.aaah amini kwa sasa nimekua kijana haswa.pamoja na kua kijana nashanga kuwaona WALIMU wangu walio nifundisha kindagate,primary,bado wamekua vijana mno.sielewi kwa nini WALIMU hawazeheki mapema kuliko wanafunzi wanao wafundisha?kuna siri gani WALIMU mnayo itumia mpaka kua na miili isiyo choka?EBU TUELEZA UFAHAMU JUU YA HILI...
inasemekana chaki zinadumaza sana
 
Nadhani kazi ya ualimu ni miongoni mwa kazi chache za wito ambazo watu hufanya kwa utulivu mkubwa sana wa akili bila kuathiri maisha yao binafsi.....

Jaribu hata kutazama ndoa na familia za walimu huwa zimetulia sana. Mazingira ya kazi yanamruhusu mwalimu kuhudumia familia yake na mume/mke wake kwa urahisi.....

Tazamia tasnia zingine kama bank, na zinginezo, utaona ni vigumu sana kumantain social life na kazi......ndio maana watu wanavurugwa kabisa....
 
yaweza kuwa kweli ila ni kutkana na mzngra magum waliyonayo hususan ya maeneo wanayofanyia kaz kwan maeneo mengne kutembea tu ni mazoez tosha...na hususan wale wa vijijin
 
Sielewi kwa nini Walimu hawazeheki mapema kuliko Wanafunzi wanao wafundisha?

Kuna siri gani Walimu wanayoitumia mpaka kuwa na miili isiyo choka?
Hawa wanakula chaki. Inasaidia kidogo ukichanganya na kero za watoto/wanafunzi.
 
Back
Top Bottom