Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,313
- 105,075
Ndo ukikaa na wenzako mnajidanganya hvy?Kama ukimuomba Mungu akuondolee mtu kama sio sahihi kwenye maisha yako haipiti siku anaodnolewa, sembuse kuomba mtu sahihi? Omba kwa kumaanisha mbona unampata vzr tu.. sema mi sipendagi wanaume wa makanisani ila wapo!!
Bc kila mtu angekuwa anaomba maadui zao waondoke, lkn wale wabaya wako ndo kwanza wanazidi kupendeza afu ww uliefanyiwa Ubaya unazidi kudumaa